Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nimeikuta sehemu nikaona si mbaya tuwaze wote.View attachment 1556412
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hivi haya ndo yalomkuta pia gsengo wa mwanza eh...wakome kuabudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeikuta sehemu nikaona si mbaya tuwaze wote.View attachment 1556412
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Subiri nayeye apite halafu ndo utakuja na hii hoja yako.Majibu kashatapata kule Mwanza nyumbani kwao.
Mzee kule ni kwa kina ngosha ujue.Subiri nayeye apite halafu ndo utakuja na hii hoja yako.
Aiseee !!Yaan nipo hapa najiuliza sipati jibu ni mwananchi wa fani/aina gani atampa kura Magufuli mwaka huu.
Maana kama;-
WAFANYA BIASHARA.
Hawa wamenyanyaswa sana ndani ya miaka 5 hii iliyoisha, refer msoto wa Manji alioupitia toka Magufuli aingie madarakani na wafanya biashara wengine kedekede, mwenyewe ni mashahidi...
WAFANYAKAZI.
hapa nazungumzia waajiriwa serikalini sekta mbalimbali jinsi walivyovuka kwa shida hii miaka 5 pasi na nyongeza yoyote ya mshahara tena na vitisho au maneno ya kebehi kana kwamba kama umechoka kazi basi acha.
Hapa kumbuka kuna wale waliofukuzwa kazi kuanzia ile 2016(vyeti feki) sijawazungumzia ila naomba niishie hapa.
WAHITIMU WA ELIMU ZA JUU NA KATI.
Hawa ndo hatari tupu, naamini wahitimu walio wengi waliohitimu toka 2015 hawana kazi rasmi labda awe na connection ndo anaweza akaja hapa na kutuambia kuwa amepata permant job serikalini.
WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU.
Hawa nao ni majanga tu mikopo ya elimu ya juu imekuuwa kama betting tu kama huna kismart basi kwisha habari yako.
Hao wanaendelea na masomo na walibett na kupata zali LA mkopo show wameiona mwaka huu kwa kupunguziwa mabomm yao eti kisa Corona.
WAKULIMA.
Huku nako ni chenga tu. Jaribu kwenda Lindi na Mtwara ukaone watu wanavyoteseka na zao la korosho na wengine walidirika mpaka kujinyonga..eti wanaambiwa korosho hawajalima wao wao ni Kangomba.
Heeeeee, hadi nimechoka kuandika jamani ongezeeni na mengine naamini ni mengi sana..
Ndo maana najiuliza hapaa huyu Magufuli mwaka huu atapata kura ya mtanzania gani...?
Kaulimbiu yao mwaka huu ni diamond ata kuwepo msaga sumu ata kuwepo na nani tena na Dogo janja naye ata kuwepo ati na Sunura nayeye ata kuwepo 🙆Wameanza onja joto ya uchaguzi,
Bila muziki watu hawaendi kuwasikiliza, majaliwa makosa watu Babati, samia imebidi alazimishe shule zifungwe ili apate wasikikilizaji,
Huku Lisu na zito wanazidi kupata uungwaji mkono
Hahah Usimsahau kipenz Cha meko harmonize naye atakuwepoKaulimbiu yao mwaka huu ni diamond ata kuwepo masaga sumu ata kuwepo na nani tena na Dogo janja naye ata kuwepo ati na Sunura nayeye ata kuwepo [emoji134]
Hahah Usimsahau kipenz Cha meko harmonize naye atakuwepo
#desert_lion
Empy heads ambao ni wanachama wa ccmYaan nipo hapa najiuliza sipati jibu ni mwananchi wa fani/aina gani atampa kura Magufuli mwaka huu.
Maana kama;-
WAFANYA BIASHARA.
Hawa wamenyanyaswa sana ndani ya miaka 5 hii iliyoisha, refer msoto wa Manji alioupitia toka Magufuli aingie madarakani na wafanya biashara wengine kedekede, mwenyewe ni mashahidi...
WAFANYAKAZI.
hapa nazungumzia waajiriwa serikalini sekta mbalimbali jinsi walivyovuka kwa shida hii miaka 5 pasi na nyongeza yoyote ya mshahara tena na vitisho au maneno ya kebehi kana kwamba kama umechoka kazi basi acha.
Hapa kumbuka kuna wale waliofukuzwa kazi kuanzia ile 2016(vyeti feki) sijawazungumzia ila naomba niishie hapa.
WAHITIMU WA ELIMU ZA JUU NA KATI.
Hawa ndo hatari tupu, naamini wahitimu walio wengi waliohitimu toka 2015 hawana kazi rasmi labda awe na connection ndo anaweza akaja hapa na kutuambia kuwa amepata permant job serikalini.
WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU.
Hawa nao ni majanga tu mikopo ya elimu ya juu imekuuwa kama betting tu kama huna kismart basi kwisha habari yako.
Hao wanaendelea na masomo na walibett na kupata zali LA mkopo show wameiona mwaka huu kwa kupunguziwa mabomm yao eti kisa Corona.
WAKULIMA.
Huku nako ni chenga tu. Jaribu kwenda Lindi na Mtwara ukaone watu wanavyoteseka na zao la korosho na wengine walidirika mpaka kujinyonga..eti wanaambiwa korosho hawajalima wao wao ni Kangomba.
Heeeeee, hadi nimechoka kuandika jamani ongezeeni na mengine naamini ni mengi sana..
Ndo maana najiuliza hapaa huyu Magufuli mwaka huu atapata kura ya mtanzania gani...?
Yaan nipo hapa najiuliza sipati jibu ni mwananchi wa fani/aina gani atampa kura Magufuli mwaka huu.
Maana kama;-
WAFANYA BIASHARA.
Hawa wamenyanyaswa sana ndani ya miaka 5 hii iliyoisha, refer msoto wa Manji alioupitia toka Magufuli aingie madarakani na wafanya biashara wengine kedekede, mwenyewe ni mashahidi...
WAFANYAKAZI.
hapa nazungumzia waajiriwa serikalini sekta mbalimbali jinsi walivyovuka kwa shida hii miaka 5 pasi na nyongeza yoyote ya mshahara tena na vitisho au maneno ya kebehi kana kwamba kama umechoka kazi basi acha.
Hapa kumbuka kuna wale waliofukuzwa kazi kuanzia ile 2016(vyeti feki) sijawazungumzia ila naomba niishie hapa.
WAHITIMU WA ELIMU ZA JUU NA KATI.
Hawa ndo hatari tupu, naamini wahitimu walio wengi waliohitimu toka 2015 hawana kazi rasmi labda awe na connection ndo anaweza akaja hapa na kutuambia kuwa amepata permant job serikalini.
WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU.
Hawa nao ni majanga tu mikopo ya elimu ya juu imekuuwa kama betting tu kama huna kismart basi kwisha habari yako.
Hao wanaendelea na masomo na walibett na kupata zali LA mkopo show wameiona mwaka huu kwa kupunguziwa mabomm yao eti kisa Corona.
WAKULIMA.
Huku nako ni chenga tu. Jaribu kwenda Lindi na Mtwara ukaone watu wanavyoteseka na zao la korosho na wengine walidirika mpaka kujinyonga..eti wanaambiwa korosho hawajalima wao wao ni Kangomba.
Heeeeee, hadi nimechoka kuandika jamani ongezeeni na mengine naamini ni mengi sana..
Ndo maana najiuliza hapaa huyu Magufuli mwaka huu atapata kura ya mtanzania gani...?
Hofu ya lisuNimeikuta sehemu nikaona si mbaya tuwaze wote.View attachment 1556412
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Utakuja kuelewa kwa kuchelewa sana!.Wewe huna sababu za kumyima Kura Magufuli! Labda hasira za kutimuliwa kazi Kwa zile cheti hewa zenu au kule kuvuna mahali usipopanda!
Utakuta mtu hata nyumba yake pesa yake iliyotumika kuijenga ilitosha tofali 10 pekee, zingine zote alikwapua au aligisadi, hapo si ni Sawa na mtu anaishi kwenye nyumba ya watu wengine?
Kama mlizoea Kwa Aina hiyo na hamuoni haya hata Mbele za Mungu, lazima utamchukia Magufuli
Tutampa tena Ili muendelee kuonja ubaya wa kuishi maisha ya kitapeli
Oooh Daaah kumbe leo fiesta imehamia Morogoro[emoji849][emoji849][emoji849] mbona atuambizani asee show za bure hizoo full burudani hulipii hata mia
hahaaa mkuu sjawai kuskia rais anaongelea biashara mpaka ya buku jero bumgeni huyumwamba alikaza mkuu Ila kuhusu wakumchagua niliskiaga kwamba hata mawe yanachaguaga sjui niliotaga mkuu???Yaan nipo hapa najiuliza sipati jibu ni mwananchi wa fani/aina gani atampa kura Magufuli mwaka huu.
Maana kama;-
WAFANYA BIASHARA.
Hawa wamenyanyaswa sana ndani ya miaka 5 hii iliyoisha, refer msoto wa Manji alioupitia toka Magufuli aingie madarakani na wafanya biashara wengine kedekede, mwenyewe ni mashahidi...
WAFANYAKAZI.
hapa nazungumzia waajiriwa serikalini sekta mbalimbali jinsi walivyovuka kwa shida hii miaka 5 pasi na nyongeza yoyote ya mshahara tena na vitisho au maneno ya kebehi kana kwamba kama umechoka kazi basi acha.
Hapa kumbuka kuna wale waliofukuzwa kazi kuanzia ile 2016(vyeti feki) sijawazungumzia ila naomba niishie hapa.
WAHITIMU WA ELIMU ZA JUU NA KATI.
Hawa ndo hatari tupu, naamini wahitimu walio wengi waliohitimu toka 2015 hawana kazi rasmi labda awe na connection ndo anaweza akaja hapa na kutuambia kuwa amepata permant job serikalini.
WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU.
Hawa nao ni majanga tu mikopo ya elimu ya juu imekuuwa kama betting tu kama huna kismart basi kwisha habari yako.
Hao wanaendelea na masomo na walibett na kupata zali LA mkopo show wameiona mwaka huu kwa kupunguziwa mabomm yao eti kisa Corona.
WAKULIMA.
Huku nako ni chenga tu. Jaribu kwenda Lindi na Mtwara ukaone watu wanavyoteseka na zao la korosho na wengine walidirika mpaka kujinyonga..eti wanaambiwa korosho hawajalima wao wao ni Kangomba.
Heeeeee, hadi nimechoka kuandika jamani ongezeeni na mengine naamini ni mengi sana..
Ndo maana najiuliza hapaa huyu Magufuli mwaka huu atapata kura ya mtanzania gani...?
Mmeshasahau wakati mnalalamika kwamba wafanyabishara wanakwepa kodi na ikulu ni kama sebule kwao. Leo wamebanwa mnarudi kuwatetea.
Kuna mataga mkuu!! Hawajali chochote zaidi ya buku 7 itapendeza.