Uchaguzi 2020 Najiuliza, ni Mwananchi wa aina/fani gani atampa kura Magufuli mwaka huu

Kabisa Mkuu hawa ni wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara na wahitimu wasiokuwa na ajira ambao pamoja na kudhulumiwa kwa miaka mitano na kuwa benchi lakini bado watampigia kura.
Tumkatae KICHAA
 
Reactions: BAK
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
 
Wapo wengi tu watakaompigia kura JPM.

Ile hulka yake tu ya kutokuwa mbali na jamii mbali mbali za ndani ya nchi ni sifa tosha ya kupata kura.

Siku zote haweki daraja kati yake na anaowaongoza, anataka aonekane kama ni mwananchi wa kawaida.

Kwa nchi za Afrika ile tabia ya kiongozi kuonyesha kwamba kama ningekuwa na uwezo basi hizi shida zenu zote ningezitatua inatosha kabisa kumuweka karibu na mioyo ya watu.

JPM kaishi maisha yenye ukaribu na watu. Na watu wanayo busara ya kumpima mtu na busara hiyo ndio inayotumika ndani ya chumba cha kupiga kura.
 
Utashangaa jembe na nyundo vitakakavyo ng'ara safari hii. Chadema, tena hii ya Lissu ni nyepesi kama unyoya.
 
HUYU KIUMBE HAFAI KUPEWA TENA NAFASI YA URAIS WA TANZANIA HATA BURE.....ARUDI KWAO AKAMUUGUZE MAMA YAKE MZAZI....KWANI NI LAZIMA AENDELEE KUWA RAIS? KAZI ZIPO NYINGI HATA UGANGA WA JADI UNAMFAA LAKINI SIO URAIS WA TANZANIA.
Ha ha sioni mbadala wa Ccm, kwa miongo kadhaa ijayo. Ukubali ukatae.
 
Twenzet octoba 28 [emoji3577]
 
Magufuli atapigiwa kura na wale anaopenda kuwaita wanyonge.

Wanyonge = wananchi wasiojitambua.

Mimi nilishakataa kuwa mnyonge wa ccm tangu Magufuli akiwa waziri hivyo asitegemee kupata kura yangu.
Tukatae kuitwa wanyonge maana Sisi Watanzania hatustahili kuwa/kuitwa wanyonge ndani ya nchi Huru kwa miaka 59.Unyonge haukubaliki,hata Mwl.JK Nyerere alisisitiza kuukataa unyonge wakati anawasha Mwenge wa Uhuru.
Unyonge sasa basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…