The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuqa
Juzi nilikuwa na appointment ya kupimwa na kupewa chanjo ya Hepatitis A and B kwasababu nina ka partime kusafisha hospital flan.
Nilienda hospital mchafumchafu na Jasho kwasababu nilikuwa natokea kazi nyingine. Nilikuwa na hofu halafu daktari mwenyewe kasister du.
Cha kustaajabisha alikuwa mcheshi sana story story na kunihoji kama na matatizo mengine ya Afya. Akachukua vipimo vya damu na kunipa chanjo.
Akaniuliza chanjo gani nishapewa bongo nikamuambia sikumbuki. Nikamchekesha kwa kumuambia iyo alama hapo begani Inaitwa Tanzania Mark Cheka sana dada ya watu.
Akanipa chanjo ya Hepatitis A and B wala hakuvaa gloves. Na siyo yeye tu yani wote. Usipowajua Utadhan wanakupenda yani wamefall in love na wewe kumbe ni ethics za kazi na wanajali na kupenda.
Sasa kuja hapa Bongo yani kupimwa maleria tu Utadhan watu wako kwenye nuclear reactor plant ama ebola danger zone
Juzi nilikuwa na appointment ya kupimwa na kupewa chanjo ya Hepatitis A and B kwasababu nina ka partime kusafisha hospital flan.
Nilienda hospital mchafumchafu na Jasho kwasababu nilikuwa natokea kazi nyingine. Nilikuwa na hofu halafu daktari mwenyewe kasister du.
Cha kustaajabisha alikuwa mcheshi sana story story na kunihoji kama na matatizo mengine ya Afya. Akachukua vipimo vya damu na kunipa chanjo.
Akaniuliza chanjo gani nishapewa bongo nikamuambia sikumbuki. Nikamchekesha kwa kumuambia iyo alama hapo begani Inaitwa Tanzania Mark Cheka sana dada ya watu.
Akanipa chanjo ya Hepatitis A and B wala hakuvaa gloves. Na siyo yeye tu yani wote. Usipowajua Utadhan wanakupenda yani wamefall in love na wewe kumbe ni ethics za kazi na wanajali na kupenda.
Sasa kuja hapa Bongo yani kupimwa maleria tu Utadhan watu wako kwenye nuclear reactor plant ama ebola danger zone