Janma
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 423
- 407
Habari zenu,
Tangu najiunga JF miaka miwili nyuma nimekua nikiona tabia ya baadhi ya member humu wakiwa na tabia ya kubeza wenzao kwamba ni watoto ama ni wadogo na wengi wamekua wakipata gadhabu wanapoambiwa ni wadogo
Ila kwangu acha iwe hivi
Nimejiunga JF nikiwa na miaka 15
Hapo nikiwa form 3
Nafikiri mimi ndio member mdogo kuwahi kujiunga JamiiForums
Tangu najiunga JF miaka miwili nyuma nimekua nikiona tabia ya baadhi ya member humu wakiwa na tabia ya kubeza wenzao kwamba ni watoto ama ni wadogo na wengi wamekua wakipata gadhabu wanapoambiwa ni wadogo
Ila kwangu acha iwe hivi
Nimejiunga JF nikiwa na miaka 15
Hapo nikiwa form 3
Nafikiri mimi ndio member mdogo kuwahi kujiunga JamiiForums