Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

sasa tuone kama nitapita tena njia ile.

unazuga wakati kila siku najilia vyangu hapa,switi na wewe kwa kuzuga jamani,ila nimekuelewa fanya fasta bas uje ila usisahau nilichokuagiza jana tlipokua wote
 
Mapenzi ni kiti cha bodboda nimepanda mimi sasa wanga subirini benchi.
 
Ushapata pesa zako za mavuno ya korosho basi unataka ubebe kila shori hapa mjini.
Nasema ole, narudia tena ole nikukute na mdogo wangu YNNAH au wifi yangu Chocs, kucha, meno na jicho...halali yangu nakwambia.
Hahahahaha Madame B we mkalii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom