Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Lady doctor hanitishi hata chembe halafu leo kanywa gongo nyingi kinoma
hahahaha! nasikia anapenda sana kunywa kwa mrija..ha ha ha ubishoo na gongo wapi na wapi?
You're very Faithful Honey!
Apataye mke amepata kitu chema
aisee! huu mchomo ni mkali balaaa
hahahaaa unasemaje we shori?? Tangu utelekezwe na Bishanga breakfast yako ni gongo na mapera na ukipata kiribatumbo usinililie tafadhali
Kupata mke mwenye akili na mwenye kujiheshimu ni jambo la kumshukuru MUNGU!!
Ninafurahia sana kuwa na mke mwenye busara, kujiheshimu kwingi na akili za kutosha!
Kipimo cha haya yote ni jinsi anavyozikabili changamoto za kimaisha na kupambanua mambo kwa utashi mkubwa!
Go on honey! Just Go on!! your Man(me) loves you so much!!
Wenye wake zenu humu..
Mnajivunia nini kwa wake zenu?
kina watu8 Judgement Arushaone, figganigga Filipo Erickb52 Kaizer Mr Rocky Mwanyasi mshana jr....
Na wanaume wengine...
whats up with ur wives?
CC: kwa ba mkwe Asprin
Erickb52 nungwi hakuwezi ye ni wa SIMIYU tuErickb52 kafulia pia nini? zambi ile ile inamfuata, ngoja na mimi niache yasijenikuta. au The secretary alimpeleka Nungwi?
Si tulikuambia uje Arachuga uje ule mtura ukakataa ona sasa unavyopata shida
Akina Arushaone na Erickb52 wako kukupa company ya nguvu na akina Preta na Blaki Womani pia