Najivunia sana! Kuwa na Mke mwenye AKILI...

Najivunia sana! Kuwa na Mke mwenye AKILI...

unavyoendelea kuongea hivyo unanizidishia hasira maana nimepataa hasara kubwa ile day one hadi sitaki kusikia hilo shirika ......wakubwa wanafaidi kila kona

Hujapata hasara kama niliyoipata juzi sisi walikata siku tatu kuja kuangalia kwenye frigde kila kitu kimeharibika............. yaani ilikuwa ni hasara juu ya hasara Blaki Womani sitaki kuwasikia hawa jamaa na ndo maana najipanga tuu kuweka solar hawana maana kabisa hawa watu
 
Last edited by a moderator:
Hujapata hasara kama niliyoipata juzi sisi walikata siku tatu kuja kuangalia kwenye frigde kila kitu kimeharibika............. yaani ilikuwa ni hasara juu ya hasara Blaki Womani sitaki kuwasikia hawa jamaa na ndo maana najipanga tuu kuweka solar hawana maana kabisa hawa watu

kweli yafaa kujipanga kuweka sola.....bado hizo gharama mpya nilisikia kuna freezer la gas?
 
kweli yafaa kujipanga kuweka sola.....bado hizo gharama mpya nilisikia kuna freezer la gas?

Kwa solar bora uingie gharama mara moja itakayokufanya miaka kadhaa usipate shida ya sijui umeme umekata au sijui mgao labda Mungu aamue kuchukua jua lake sasa hapo

asijali hali kama hiyo ilinipata nilipotelekezwa na Arushaone The secretary pole mwaya amekwenda kutafuta faranga akija utaenjoy matunda
Bishanga apotee kiasi hicho hata kama ni faranga angekuwa hata anabeep ila hii ni kali aise
 
Last edited by a moderator:
mbona maelezo mengi sana kiwatengu kwani umeulizwa naona unajieleza sana



Wameokoka siku hizi hawalimi tena wanalima mchicha na nyanya

Ha ha ha ha! ulionyesha mshangao, ulionishtua nkajua wife akiona na yeye atashtuliwa na mshangao wako! maelezo yangu mengi, yanasababu ati! #kutunzandoa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom