Najivunia sana! Kuwa na Mke mwenye AKILI...

Hongera. Ungeuliza na sie tunajivunia nini kwa kaka zako.
 

wives???
 
Last edited by a moderator:
Watu na bahati zao wanaopata waume wanaosikia fahari kuwa nao...wengine mpaka wapoteze walionao ndio wanajua walipoteza dhahabu
 
Watu na bahati zao wanaopata waume wanaosikia fahari kuwa nao...wengine mpaka wapoteze walionao ndio wanajua walipoteza dhahabu

Hao waivyo unawatizama tu kikimnukia unamwambia "ninge " hairuhusiwi.
 
kiwatengu I wish ujumbe huu ungemfikia na mhusika lolz
 
Last edited by a moderator:

Sasa fanya hima umalizie mahari. Njaa na kiu vinaniangamiza
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…