Najiweka wazi...

Najiweka wazi...

Naona AKILI zko Zinacheza MAKIRIKIRI, Kwanza Kwny Facebook Yko Umeweka Mapicha Ya NGONO alafu Unaonyesha ww PUNYETO zimekuathiri kwa kiasi kikubwa kama kweli ni wewe hata MADEMU wana Haki Kukuchomolea,.
 
picha zenyewe umepiga na yebo yebo utampata nani, wanawake wa siku hizi wanaangalia wallet then mauzo....usmart wahitajika bana

Ha ha ha.. Uliwahi nini kuangalia kwenye profile yake ya fb kama analipa Mrembo by Nature..? Ukakutana na yeboyebo..! Ila hao ndo wanashuka kuliko wavaa raba za supra..
 
Be smart kaka, picha ulipost fb sio attractive.........ukiona mambo magumu mpende sabuni.
 
haiwezekan ukose mwanamke kaka, hata kama ni domo zege kiasi gan, siku wanawake wala si wa kupiga sound kama zaman had akajifikirie. Siku iz unasema live that let make a deal, bas kwisha kazi. Ila wewe nahis ulisoma seminary sasa so umekaa kilokole sana. Changamka utawapat weng tu
big up bro...!
 
Ni mimi mwenyewe John,Sina mtu nipo lonely
 
Piga kwanza game za mchangani upate uzoefu, wewe cv yako ndogo halafu unataka watu wa level ya university wapi na wapi
 
Game za mchangani ndo zipi
 
huyu jamaa ameamua kuwa muwazi wale mabinti waliotokea mapenzi yalipoanzia jamani changamkeni
 
Jamali zile ni sendo sio yebo,nimenunua30elfu mjini,picha za simu so photo point lol;
 
Nafuatilia Mkuu,cwt Bagamoyo
 
Nimeziona picha zako fb..! Ngoja nikutafutie mdogo wangu..!
 
Nina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::

jiangalie mara mbili mbili kaka kuna kitu sio bule?
 
Nina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::
duh kaka unamoyo Kweli kujilipua/kujiweka wazi JF.wao watakufahamu lakini wewe hutowafahamu cos sura zao wamezifisha mbele ya laptop/destop zao.mimi baadae sana.lol
 
acha mambo ya ajab wewe, wasukuma wakoje? mi mbona msukuma na nilianza kula utam tangu niko form one nikiwa na miaka 14 had leo. Na nina mrembo mzuri sna na warembo wengne wananitaman ila nimejaa kwa sasa sina nafas tena.
ahahhhahahah!..kuwa mpole kiongoz huna haja ya kuwaaaaka,hizo swaga za long kitambo maskongaa bana,tukitimba wasukuma lazima tujulikane na swaga zetu za kigoroko kutoka pande za shy....xo mkulu kafanya kukumbushia tu....as per now tuko mbaliiiii nomaaaa,kutupiamo kama kawa na vitu vya designer hakunaga mikato ya kisukuma usiogope....

 
BUMIJA...wasichana wanawake wanapenda badboys, upole sana mmmh haiatokusaidia labda mlokole.
Maana mtu mpole is damn boring...jifunze kuwa mjanja janja
 
acha mambo ya ajab wewe, wasukuma wakoje? mi mbona msukuma na nilianza kula utam tangu niko form one nikiwa na miaka 14 had leo. Na nina mrembo mzuri sna na warembo wengne wananitaman ila nimejaa kwa sasa sina nafas tena.

hahahaa!acha jazba basi!jf ukiichukulia siriaz sana utapasuka mjomba
 
wewe mkaka ....acha kuwa picky watu hawachaguliwi kama mafungu ya nyanya....:whistle:hongera kwa jkujilipua lakini mwenyewe ukaona utawaimpreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeesssssssss wadada wa jf,lol ila nahisi wengine washakupm tuko tofauti labda mungu alikupangia umpate wako kwa njia hii.....
 
Mwl Bumija rudi kwenu misungwi ukatafute wa saizi yako,wanawake wa mjini watakuua mapema.
 
Back
Top Bottom