Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picha zenyewe umepiga na yebo yebo utampata nani, wanawake wa siku hizi wanaangalia wallet then mauzo....usmart wahitajika bana
big up bro...!haiwezekan ukose mwanamke kaka, hata kama ni domo zege kiasi gan, siku wanawake wala si wa kupiga sound kama zaman had akajifikirie. Siku iz unasema live that let make a deal, bas kwisha kazi. Ila wewe nahis ulisoma seminary sasa so umekaa kilokole sana. Changamka utawapat weng tu
Picha zangu zipo:::facebook....Johh Bumija,email:::😛icha yako hapa »»»»jrootb@yahoo.Com
Nina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::
duh kaka unamoyo Kweli kujilipua/kujiweka wazi JF.wao watakufahamu lakini wewe hutowafahamu cos sura zao wamezifisha mbele ya laptop/destop zao.mimi baadae sana.lolNina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::
ahahhhahahah!..kuwa mpole kiongoz huna haja ya kuwaaaaka,hizo swaga za long kitambo maskongaa bana,tukitimba wasukuma lazima tujulikane na swaga zetu za kigoroko kutoka pande za shy....xo mkulu kafanya kukumbushia tu....as per now tuko mbaliiiii nomaaaa,kutupiamo kama kawa na vitu vya designer hakunaga mikato ya kisukuma usiogope....acha mambo ya ajab wewe, wasukuma wakoje? mi mbona msukuma na nilianza kula utam tangu niko form one nikiwa na miaka 14 had leo. Na nina mrembo mzuri sna na warembo wengne wananitaman ila nimejaa kwa sasa sina nafas tena.
acha mambo ya ajab wewe, wasukuma wakoje? mi mbona msukuma na nilianza kula utam tangu niko form one nikiwa na miaka 14 had leo. Na nina mrembo mzuri sna na warembo wengne wananitaman ila nimejaa kwa sasa sina nafas tena.
hahahaa!acha jazba basi!jf ukiichukulia siriaz sana utapasuka mjomba