Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Namtafuta braza popoma wajamen km kuna aliyemuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alikabwa na wachezaji aina ya wakina dante, yondani ikiwa yanga ya kuunga unga ije iwe leo yanga ikiwa imekamilika kila idara! Na ligi ya tanzania ikiwa imeimarika vya kutosha ajipange vizuri asidhani ligi aliyoiacha ndiyo ile ile mambo yamebadilika pakubwa sana akiwa amekaa nje ya uwanja kwa muda mrefu mpaka akatemwa timu yake ya taifa
Usiwashtue
Ngoja aje akupopoe we utopolo fcNi kama kundi la Futuhi, Gentamasimavi ndio Brother K wao wa kukurupuka.
mayele mnamng'ang'ania wa niniHakunaga wachezaji wengine mpka hawa hawa? scout wana kazi gani,?
Kumbe ame ng'ang'aniwa nilidhani ana mkatabamayele mnamng'ang'ania wa nini
Mayele ni mchezaji wa Yanga na ana mkataba na Yanga.mayele mnamng'ang'ania wa nini
Mbumbumbu huyo.Kumbe ame ng'ang'aniwa nilidhani ana mkataba
Utopolo bila gsm mwana Simba si mlikuwa omba omba aka matonyaIla sisi Simba Ni wazembe Sana. Sasa hivi badala ya kuangalia mbele tumejikita kwenye bilioni za Moow.
Simba bila Moow inaweza kushuka daraja.
Simba sijui viongozi wetu wanakwama wapi.Utopolo bila gsm mwana Simba si mlikuwa omba omba aka matonya
Scout ameweka kambi airport kuvizia wachezaji wanaokimbia vita SudanHakunaga wachezaji wengine mpka hawa hawa? scout wana kazi gani,?
Kama ile reject ya Simba (Mkude) yaani free agent mmeokota tu kama Teja anavyookota screpaReject za Waarabu hizi, vipi Manzoki alikuja kuwa campaign manager tu? Mipango ya kumsajili imeishia wapi?
Wanataka tu kuwafurahisha mashabikiHakunaga wachezaji wengine mpka hawa hawa? scout wana kazi gani,?
Wamegoma kabisa kusajili namba 6....... anyway bado dirisha halijafungwa tungoje.Simba walimsajili Miquesson WATAKUWA na Mawinga 11.
Mabeki WA kati 3
NAISIKITIKIA SANA HII TIMU.
NAYAONA MAKOSA TENA KWENYE USAJILI.
MASHABIKI JIANDAENI MAUMIVU.
mbona kama naona panic usoni!Reject za Waarabu hizi, vipi Manzoki alikuja kuwa campaign manager tu? Mipango ya kumsajili imeishia wapi?
Usiongee kwa saut kuwakumbusha waache tuwabutueSimba walimsajili Miquesson WATAKUWA na Mawinga 11.
Mabeki WA kati 3
NAISIKITIKIA SANA HII TIMU.
NAYAONA MAKOSA TENA KWENYE USAJILI.
MASHABIKI JIANDAENI MAUMIVU.
Kama kisinda aucho?Reject za Waarabu hizi, vipi Manzoki alikuja kuwa campaign manager tu? Mipango ya kumsajili imeishia wapi?