GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Ulikuwa wapi april 16?Usiongee kwa saut kuwakumbusha waache tuwabutue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa wapi april 16?Usiongee kwa saut kuwakumbusha waache tuwabutue
Swali ni utamkaba nani umuache nani???elewa swali ewe utopoloKama alikabwa na wachezaji aina ya wakina dante, yondani ikiwa yanga ya kuunga unga ije iwe leo yanga ikiwa imekamilika kila idara! Na ligi ya tanzania ikiwa imeimarika vya kutosha ajipange vizuri asidhani ligi aliyoiacha ndiyo ile ile mambo yamebadilika pakubwa sana akiwa amekaa nje ya uwanja kwa muda mrefu mpaka akatemwa timu yake ya taifa
Rejects za AS Vita -- Mayele, Djuma, Moloko, Joyce na takataka zingine nyingi.Reject za Waarabu hizi, vipi Manzoki alikuja kuwa campaign manager tu? Mipango ya kumsajili imeishia wapi?
Sisi mashabiki/wanachama wa Yanga tuna imani na viongozi wetu. Walishatoa tamko la kufunga usajili.Hii ya ngoma imewauma sana eeh??[emoji23][emoji23]msijali ndo dunia ilivyo
USiwashtue..kwa sasa wanaotaTaja mchezaji anayemzidi chama assist,kama yupo lkn?..subirini mbona mtaita maji mma mwaka huu
Sa mbona wenzio wanamsubiri full back right ya asec mimosac,kwa jina la yao attoulla kouassi fundi kabisaaaaaaSisi mashabiki/wanachama wa Yanga tuna imani na viongozi wetu. Walishatoa tamko la kufunga usajili.
Hivyo tunachosubiria kwa sasa ni utambulisho tu wa hao wachezaji waliobakia.
Yaani nchi hii scouting ni mbovu sana, yaani mtu akifail sehemu nyingine ndiyo anarudi huku yale yale ya kina Makambo,Kisinda.......ni ujinga sanaHakunaga wachezaji wengine mpka hawa hawa? scout wana kazi gani,?
usajili unafanyika kufikia malengo ya timu.Sasa kuna timu inafnya usajili wa kuudhi mashabiki??