Najua kuna watakaonicheka kuwa mimi ni mzembe lakini muda mwingine inahitajika kupumzika

Najua kuna watakaonicheka kuwa mimi ni mzembe lakini muda mwingine inahitajika kupumzika

daahh kila mtu na ubabe wake asee.mi hadi juzi naongea na babu yngu namuelezea kwamba nitakuwa na tatizo nifanyeje!jumapil nililala na manz wangu nikapiga bao5 hadi asbh no kulala.ameondoka nikapigiw na manz mchana nikaenda nikala msos wa mchana nikapiga mzigo vi3 nimetoka hpo uboro ukasimama kwenye boda.nimefika geto kwngu nna nyuro km chizi ikabdi nilikwaruze nyento ili nipate ucngz...jion nimetoka job ikabid nisaundishe bek3 wa mazahaus kaniambie ngoja aanue nguo aje amekuja nimeunga viwil kisha akasepa hapa bado nimekamatika nikiona ht kwenye tv mapaja tuu inadinda.najihis tofauti yaan nnavyofanya ndo ham inazid sio inapungua.km kuna mtu tunafanana aje tujadili maana ni matatizo haya
Sawa, tumekuelewa.
 
Nilichogundua mtoa mada ni mtunzi mzuri sana wa Hadithi na Riwaya lakini anachangamoto katika uandishi wake katika umaliziaji wake wa story bado anatuacha sisi wasomaji katika wakati mgumu wa kutojua kuwa hapa ndo mwisho wa story au kuna muendelezo anyway party two unitag writter
 
Nilichogundua mtoa mada ni mtunzi mzuri sana wa Hadithi na Riwaya lakini anachangamoto katika uandishi wake katika umaliziaji wake wa story bado anatuacha sisi wasomaji katika wakati mgumu wa kutojua kuwa hapa ndo mwisho wa story au kuna muendelezo anyway party two unitag writter
Yani huo ndio uandishi mzuri, hata series ukiangalia unatakiwa usijue nini kitakuja, ili uwe na hamu ya kufuatilia next episode
 
Hii Chai tena ile chai ya mchaichai.🤣🤣


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Kipindi cha ujana 25-29 nilishawahi kupiga demu watatu kwa Siku moja bandika bandua. Hakuna maendeleo niliyofanya zaidi ya ku*mba. Ilifika kipindi ukitoka nje unahisi unabebwa na upepo.
 
😂😂😂😂😂Mdharau K, .......mamaye si maneno ya BAK hayo bali ya wahenga 🤣🤣

Wataalamu mpo? Kwema?

Niliwamisi sana.

Juzi bana nilitoka out na shemeji yenu mmoja hivi ambae ndio bado hatuna hata week 2, tulitoka weekend tulikunywa vinywaji kiasi baada ya kuchangamka akapendekeza twende kwake nikapumzike kwanza then ndio niende home kwangu kwakua kwake sio mbali na hapo tulipokua tunanywea vinywaji.

Basi baada ya kuondoka pale nikaona kweli nikapumzike kwake kwanza kidogo then ndio niende home, tulipofika kwake tulikaa kidogo kama robo saa, kilichofuata ilikua sio kupumzika tena, bali kulitokea mtanange mkali sana, game kali, yani kama huna pumzi unaweza ukazimia, kiukweli tulipelekana mpera mpera, inafikia sehemu ushacheka na nyavu zaidi ya mara tatu unadhani kwamba atasema amechoka lakini ndio wapi!!! Bado anataka, yaani ile siku nisingetumia uzoefu wangu kwenye haya mambo angenitoa nishai, mwisho wa siku game ikaisha salama lakini kila mmoja alikua hoi Bin Taabani.

Ikabidi tuu niage niondoke niende zangu home, nikamuacha bado amelala kitandani yani hata nguvu za kunisindikiza hakuwa nazo aiseee.

Mwendo wa boda boda dakika 30 nikafika home, huku kichwa changu kikiwaza nioge tuu nilale maana mzee nilihisi hadi bone marrow zimeisha, yani hadi nikawa nikikunja mguu unatoka mlio kama vyuma ambavyo havina grisi, nikaoga zangu fasta nikapanda kitandani nilale.

Ile nazima tuu taa nilale ikaingi mesaage "kuna duka nimelikuta liko wazi apa nanunua condom za kuja kutumia leo " hapo ni SAA 5 na nusu usiku, meseji inatoka kwa mpenzi wangu mwingine.

Nikaona chakufia nini!? Akifika hapo nje atagonga akichoka ataondoka, nikazima simu nikalala zangu.
 
Mwendo wa kusakata kabumbu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamiiforum ni raha sana unaweza kuwa na stress bt ukija huku unajiona upo dunia nyingine kabisa kwa vicheko bt Hongera Mr Pompeo pia mjitahidi mumruhusu bwana yule mliyempga ban nchini kwenu aje kutembelea huko ili aondoe stress za kukatwa
 
Back
Top Bottom