GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwani imekuwaje bro?Kwangu Mimi Taifa Stars isiyo na Wachezaji wangu ninaowakubali akina Kapombe, Tshabalala, Feitoto, Kipa Kinda Ali Salim na yenye Wachezaji wabovu akina Mkude, Boko ( Mfalme wa Miba Tanzania ) Mzize na Himid Mao Mkami ni Batili.
Hongereni Taifa Stars kwa Kufuzu tena AFCON, ila Binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi Kufuzu Kwenu ila sina jinsi.
Hata wakipigwa wanafuzu?Kwangu Mimi Taifa Stars isiyo na Wachezaji wangu ninaowakubali akina Kapombe, Tshabalala, Feitoto, Kipa Kinda Ali Salim na yenye Wachezaji wabovu akina Mkude, Boko ( Mfalme wa Miba Tanzania ) Mzize na Himid Mao Mkami ni Batili.
Hongereni Taifa Stars kwa Kufuzu tena AFCON, ila Binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi Kufuzu Kwenu ila sina jinsi.
Wakipigwa Kisha Uganda akashinda anafuzu Uganda Kwa tofauti ya magoli. Lakini iwapo Uganda akatoa sare ya aina yoyote basi stars hata akipigwa wiki atafuzu.Hata wakipigwa wanafuzu?
Huwa sishangilii Timu ya Taifa Stars ikiwa na Wachezaji wengi wa Kigamboni Tano Tano Samaki FC huku wa Timu yangu ya Ushindi Mpira Mbovu FC wakiwa Wachache.Kwani imekuwaje bro?
Hata kama Uganda Kamfunga Niger 3 kwa 0?Hata wakipigwa wanafuzu?
Boko ni Headmaster na Tshabalala ni Head Prefect wa Upuuzi huo. Na Mtaalam wao yuko Morogoro Milimani anayetumiwa na hata Kipa Mmoja Mkubwa kwa sasa nimemsahau Jina.GENTAMYCINE hivi boko ni Mzee wa miba eeh?
Nikajua chama letu lunyasi, Tshabalala ndio master wa hizo kitu.
Asante kwa Taarifa GENTAMYCINE , the Birdwatcher.Boko ni Headmaster na Tshabalala ni Head Prefect wa Upuuzi huo. Na Mtaalam wao yuko Morogoro Milimani anayetumiwa na hata Kipa Mmoja Mkubwa kwa sasa nimemsahau Jina.
Haini na GaidiKwangu Mimi Taifa Stars isiyo na Wachezaji wangu ninaowakubali akina Kapombe, Tshabalala, Feitoto, Kipa Kinda Ali Salim na yenye Wachezaji wabovu akina Mkude, Boko ( Mfalme wa Miba Tanzania ) Mzize na Himid Mao Mkami ni Batili.
Hongereni Taifa Stars kwa Kufuzu tena AFCON, ila Binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi Kufuzu Kwenu ila sina jinsi.
Dada Aisha a k a YsherBoko ni Headmaster na Tshabalala ni Head Prefect wa Upuuzi huo. Na Mtaalam wao yuko Morogoro Milimani anayetumiwa na hata Kipa Mmoja Mkubwa kwa sasa nimemsahau Jina.
Ali Salum akacheze Taifa Stars? Nchi imekuwa na Uhuru wa kujieleza hiii!!!Kwangu mimi Taifa Stars isiyo na Wachezaji wangu ninaowakubali akina Kapombe, Tshabalala, Feitoto, Kipa Kinda Ali Salim na yenye Wachezaji wabovu akina Mkude, Boko (Mfalme wa Miba Tanzania ) Mzize na Himid Mao Mkami ni batili.
Hongereni Taifa Stars kwa kufuzu tena AFCON, ila binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi kufuzu kwenu ila sina jinsi.
Labda kama hawajawaita wale wachezaji wao wa ulaya, ila kama wamewaita Algeria wanatuzidi uwezo kwa mbali.Stars akifuzu tena kwa Algeria tena kwao kule sidhani kwakweli basi hiyo AFCON tutafika walau quarter.
Tena mbali hasa au ndo ya Mungu mengi?Labda kama hawajawaita wale wachezaji wao wa ulaya, ila kama wamewaita Algeria wanatuzidi uwezo kwa mbali.
Acha unafiki pompoma weweKwangu mimi Taifa Stars isiyo na Wachezaji wangu ninaowakubali akina Kapombe, Tshabalala, Feitoto, Kipa Kinda Ali Salim na yenye Wachezaji wabovu akina Mkude, Boko (Mfalme wa Miba Tanzania ) Mzize na Himid Mao Mkami ni batili.
Hongereni Taifa Stars kwa kufuzu tena AFCON, ila binafsi kama GENTAMYCINE sijafurahi kufuzu kwenu ila sina jinsi.