Najua mtanishambulia sana lakini wanawake kwa hili mnachangia mno kuiangamiza dunia!

Hizo ni athari za ibilisi a.k.a shetani. Walio na roho wa kweli a.k.a roho mtakatifu, wenye kuishi maisha ya kumtumaini Yesu Kristu kuwa ni mwokozi wao, waliomkaribisha yeye na kufanya makao ndani yao, wanaoongozwa na roho wa kweli wa bwana, basi hawawezi kuonesha sehemu za maungo yao (wanawake) na wanaume hata kama wataona mtu kavaa ovyo kama thread basi huwa hawatamani wala kushawishika kwa lolote, hubaki 100% neutral. Na ni ngumu sana kuelewa hili fumbo kama mtu haja mpokea Yesu Kristu na kukubali kuwa njia pekee na yeye kummwagia roho mtakatifu. Mpokeeni Yesu Kristu mtaona mabadiliko!!
 
Wangeacha kama wangekuwa hawapati soko,washajua wanaume wanapenda wanawake wakaa uchi.



 
Mkuu Dumelambegu upo right kabisa, ondoa hofu kabisa, nadhan hata madem watakuunga mkono kwa hili!
 
Nakubaliana wewe maana sasa hivi inatisha,sijui hawa watu wao wanaona kawaida
 
kuweka uwiano mzuri....na nyie wanaume muwe mnavaa nguo za kututamanisha na sisi.......hata sisi tunapenda kutamani jamani
Duh hii kali!!!!
 
Dumelambegu nakuunga mkono kwa asilimia 200. Wanawake sasa wamekubuhu. Kwa kweli kama ni suala la mavazi ninawaunga mkono sana waarabu. Nadhani ndiyo maana waliamua kuwadhibiti kiasi cha kufunika mpaka nyuso zao.

Naunga mkono hoja..mimi ni mkristo lakini niko mbioni kuoa Muslim tena anayeficha maumbile yake kama MTALEBAN... hawa dada zetu wa kikristo wameshalaanika,, hawajiheshimu tena..... mbaya zaidi wengine wana ndoa zao.. sasa hayo makalio,shanga ,mapaja,.na chuchu zao wanataka sie tushee na waume zao... Mashetani
 

.. Nina wasiwasi na Lizzy...... Lizzy are u Married? Sorry to ur husband
 
That's another way of saying baadhi ya wabunge wanawake ni machangudoa. Thanks for a loud thinking. Yu masti bi jiniasi!

Uchangudoa ni tabia so hata mbunge anaweza kuwa changu vilevile, ila ndio umeambiwa kuna wanawake wenye staha zao, hivyo hata hao wabunge wanawake sio wote wanaovaa vioja!
 
mama yako ni mwanamke au mwanaume?
Kama ni mwanamke umesha wahi kumwambia hili?
Tofautisha wanawake wenye staha zao na machangudoa

Nafikiri mtoa mada ana maanisha hao wasiokuwa na staha na wala haikuwa lazima kumhusisha mama yake moja kwa moja kama kweli wewe nawe una staha. Lugha yako inaonesha staha yako ni sifuri hivyo na wasiwasi na hata staha yako ya mavazi!!!!!
 
kuweka uwiano mzuri....na nyie wanaume muwe mnavaa nguo za kututamanisha na sisi.......hata sisi tunapenda kutamani jamani
Duh hii kali!!!!

Uvaaji na ukaaji mapaja nje tayari ni kumtamani mwanaume. Hivyo mwanamke umtamani mwanaume hata kama haonekani!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…