Najua sio wote wabaya lakini nawachukia wanaume!

Najua sio wote wabaya lakini nawachukia wanaume!

Only after nimeondoka na kuacha nyumba yangu, napata habari ya mambo zaidi niyajuavyo kumbe watu walikuwa wananichora tu wanajua mambo mengi machafu na walikuwa hawaniambii, bado sielewi sababu ya mtu kumtenda hivi mke wake! why? why? why?

sipati jibu lakini ndio nazidi kuwachukia sana wanaume, sirudi nyuma hata kidogo.

Pole mrembo, maisha ndiovyo yalivyo mnapogombana au kuachana utapata mengi alokua anakutendea mwenzio sababu wanajua mmeshagombana wazushi watazua kama wanavyokuja kwako kukueleza mambo yasio faa wengine pia wanakwenda kule kwa mumeo kumueleza mabaya kuhusu wewe,ili usizidi kuumia wachana na kusikiliza habari zilizopita za huyo bwana sababu haitakuongezea chochote ispokua machungu,
jaribu kujishughulisha na kazi zako atakae kuletea story zozote mwambia aseme kilomleta sio mambo ya huyo jamaa umeshamtapika basi ....
 
je?wapo wanaume wanaokupenda wakati wewe unawachukia.Nalog off
 
wanaume wanachosha na wanazeesha pole dada maisha ni kusonga mbelepole kwa waliokufanyia unafiki
Duh! ina maana bi dada unataka uendelee kuwa hivi hivi bila kuzeeka kwa kuwaogopa wanaume wa kiume? ila tunazeesha vipi naomba untufanunulie sisi wanaume.Nalog off
 
malaki 2:16...Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
Kwani alikuambia nani kuwa hao wanaokueleza habari mbaya za mumeo kuwa wanakuhurumia na ukute wanaongeza chumvi,wapige stop kukueleza jambo lolote liwe zuri au baya ,wewe unatumia sana akili zako na ndio maana badala ya kumuombea mumeo bwana Yesu amtakase na kumbadilisha unaendelea kuhesabu makosa .Unapaswa kuingia ktk toba kwaajili ya mumeo sio ufahamu wake ni zao la ibilisi,mwenye kuanzisha ndo anachukia kitendo ulichofanya na sasa umemkabidhi shetani mumeo badala ya kupiga goti na kumlinda kwa maombi..come on wake up gal usiwe kama watu wa mataifa wanaokupongeza kwa kuacha nyumba yako wengine ni ma-agent wengine ndio wasababishi wa kuvunjika kwa ndoa nyingi wewe unadhani watakuambia nini?
 
One thing you have not been objective ni kuona wanaume ni wajinga! Hivi kama wewe ni mwanamke, unajua mtu ana mke au hata kama hujui (though unapaswa kujua kabla hujamvulia) ukaamua kutembea nae, nani mjinga hapa?! Mimi nadhani hapa wanakua wajinga wawili wamekutana! So badala ya kupata ghadhabu juu ya wanaume, ni vema kujua nini chanzo cha matatizo kama haya! Hata usiporudiana nae, utakutana na mwingine amabaye nae huko alikotoka keshaharibu. So bora zimwi likujualo! People make mistakes, and we cant judge them while we know we have our own falts!
 
Pole sana, maisha ya mahusiano na ndoa yana changamoto sana, inahitaji hekima na uvumilivu ili kuweza kudumu ktk ndoa. Nafikiri kama tatizo lenyewe si kubwa sana la kudhalilisha (kama lile la yule aliyemfumania mumewe na houseboy wao) na fikiri linaweza kutatulika. Muombe Mungu pia atakusaidia kwa wakati wake.
 
Only after nimeondoka na kuacha nyumba yangu, napata habari ya mambo zaidi niyajuavyo kumbe watu walikuwa wananichora tu wanajua mambo mengi machafu na walikuwa hawaniambii, bado sielewi sababu ya mtu kumtenda hivi mke wake! why? why? why?

sipati jibu lakini ndio nazidi kuwachukia sana wanaume, sirudi nyuma hata kidogo.

Siwezi kukusapoti haaaata kidogo kwa kuwa siyajui maisha yako na huyo aliyekufanyia hivyo. Kuna tabia ya wanawake kujiliza just to win public sympathy toka kwa watu wasiofikiri mara mbili. Kila tatizo ktk mahusiano linapotokea huwa kila mmoja wenua ana mchango wake mpk mkafikia hapo mlikofika. Na the way nawajua wanawake, kuna kitu utakuwa ulifanya na yeye akakutatia tamaa, hilo la kwanza. Pili, what if hivyo ndivyo alivyo na tangua awali ulimjua ila ukaenda kwako kwa tamaa ya vile anavyomiliki sasa leo yamekukuta ndio unajinadi kuwachukia wanaume. 'Nakuhakikishia siku ukiwa karibu yangu, utafuta hiyo kauli ya kuwachukia wanaume wote'

Ngoja nikwambieni kwa nini siwaamini wanawake: Nina rafiki yangu wa kike ambaye ana wapenzi kama 6 hivi tofauti wakiwamo wazee wenye ndoa zao. Ila kati ya hao yupo mmoja ambaye ni kijana anafanya kazi kwenye gazeti fulani la serikali kaofisi ka pale samora ambaye yeye kwa ukweli kapendwa kiukweli na Razia. Mimi kwa kutokupenda ufukunyuku wa namna ile nikakaeleza kale kajamaa juu ya Razia na tabia yake, na kwa kuwa ni kasomi kakachunguza na kalinielewa. Hakakupoteza muda kumwambia Razia kitu, kalichofanya ni kutafuta 'demu' mwingine. Siku Razia alipokuja kujua, tulikuwa kwenye taxi tunaenda home jioni tumetoka job. Huwezi amini jinsi mtoto wa kike alivyolowanisha viti vya taxi ya watu kwa machozi. Kwa ukweli sijawahi kushangaa kama siku ile, sikuwahi kukaa nikawaza kuwa Razia naye anaweza kuwa na wivu kwa jinsi alivyo na rundo la wanaume. Nilicheka mpk dreva taxi akatishia kusitisha huduma kwa maana Razia analia, mimi nacheka huku mwenzetu mwingine ambaye naye ni wa kike akimbebembeleza bila mafanikio.

Kwa hiyo ndugu zangu hawa wanawake na visa vya kutendwa nao muwachukulie kwa tahadhari. Hakuna nyoka mbaya kama wa kike
 
Tatizo ni hii dhana ya Jinsia ambayo imetawala miongoni mwa vichwa vya watu bila kufikiria mazingira ya Ulaya na USA ambako mila na desturi nitofauti na Bongo. Huku Bongo couple wote tunafanya kazi lakini matumizi ya familia kutoka kwa jinsi ya kiume!!! Mimi jinsia ya 'ke pesa yangu saloon. Wapi usawa?
 
If i had power...i cud have killed all men under the sun...bila kujali ni nani, huw nikiona post mwanamke analia nazidi kuumia, nakumbuka nilikotoka, namshukuru Mungu sikumchomea ndani huyo mwanaume! i wish i cud stop all women pain and tears, huwa cpend kuckia mdada akieleza aliyofanywa cuz huwa nakumbuka what i went through 7 yrs ago! Zamani ckujua why there were serial killers of men...tena anadisapear na vinyeti vyao.....! Nilipogundua, Once i have that idea bt thanx to God am recovering!
 
Dada ugangamale hasa, kama umeamua kuondoka for gud just do it na usidhubutu kumrudia au kumkaribisha tena ktk maisha yako. Ni ngumu kuanza maisha ya upweke hata km mliishi wiki2 tu. Ujiweke busy kweli na epuka kuwaelezea elezea watu, weng watajidai kukuhurumia ila ukishaachana nao wanakupakaza mtaani. Km una kazi fanya kwa umakini na kama muda upo nenda kajisomee evening classes hata za mapish au gym just to keep u busy! Weng wanarecomend uwe unatoka na friendz ila uangalie ni wa namna gani, km ni wale wa kukuambia tafuta mwanaume mwingne kaa nao mbali, jifungie kwako, anza kufikiria ulipotoka, ulipo na utakapokwenda, panga future yako, maisha bila mwanaume beside u inawezekana, km kuna watoto muwekeane majukumu kwa maandishi atafanya nini,lini na wapi! Kuachika sio mwisho wa maisha, ndio kwanza umeingia duniani, ulikuwa unapikwa, chuma safi lazma kikutane na misukosuko ya moto, kikitoka jikoni ogopa uzuri wake, usiwe km jiwe likipata moto linapasuka, unagangamala km chuma, ukinolewa unamkatilia mbali kwa jinsi utakavyokuwa umefanikiwa. KUWA STRONG, WAPO WENGI WALIOLEWA KWA NIA NZURI(SIO KUONDOA NUKSI)WAMEPITA ULIPO NA KWA KUSIMAMA NA KUJIAMINI, WAKO JUU NA HAWAHTAJI KAJANAUME ETI KA KUMUOWA! Be strong na Mungu akutunze! AMEN!
 
Ila ungejua upande wa pili,nipo ninaeamini kuwa wanawake ni viumbe waliokosea wakawa hapa duniani,hawastahili kuwepo hapa.Wana mambo ya ajabu!Sijui kwa jibu langu litakufundisha nini!
 
Ila ungejua upande wa pili,nipo ninaeamini kuwa wanawake ni viumbe waliokosea wakawa hapa duniani,hawastahili kuwepo hapa.Wana mambo ya ajabu!Sijui kwa jibu langu litakufundisha nini!

Linafundisha kuwa bdo unaishi ktk zamani, badilika, otherwise utaleta tabu...i thnk u knw what i mean!
 
I wish nisikilize na upande wa pili wa huyo mwanaume anayelalamikiwa so far it's only one side of the coin.

Umeona eeh! Huwa siamini sana hizi habari za upande mmoja hasa mhusika anapoonyesha hasira na chuki za wazi.
 
Back
Top Bottom