Najua sio wote wabaya lakini nawachukia wanaume!


Auntie una uhakika wewe uko perfect?? God forbide!
 
Ila ungejua upande wa pili,nipo ninaeamini kuwa wanawake ni viumbe waliokosea wakawa hapa duniani,hawastahili kuwepo hapa.Wana mambo ya ajabu!Sijui kwa jibu langu litakufundisha nini!

Huu sasa uonevu wa waziwazi kabisa!! U always undermind the ideas of women! Sorry to say that u are living under the umbrella of something like hatred!
 
Hakuna mtu katili kama mwnamke ila anapotendwa yeye dunia nzima itajua
 
Just pole! wapo wanaume wazuri so passionate!
 
Kuwachukia wanaume kwa namna hii ni dalili kubwa sana ya USAGAJI au USAGWAJI
 
umeondoka umeacha nyumba yako, ulijua unamwachia nani?pole yako. but wanaume wanawapendeni sana.angalia kwenye daladala wanalipa wao,bar wanalipa wao,guest wanalipa wao,akukute njiani anakupa lifti.munataka mupendejwe?mia
 
Ahsante sana kaka.Watu wanapenda sana kulaumu upande mmoja na ku-judge watu collectively.
 
Huu sasa uonevu wa waziwazi kabisa!! U always undermind the ideas of women! Sorry to say that u are living under the umbrella of something like hatred!

dont gues! Ndio hali halisi, the guy need psychological healing cuz jana kaweka post anaexpres hatred toward his mama though it wasnt direct!
 
Wakinadada hapo mnatuonea,na sisi tukiamua kuanika madudu tuliyofanyiwa itakuwa ugomvi humu ndani....kipindi kile upo naye ungeambiwa uchafu wake usingeamini mamaa hiyo ndo nature ya mapenzi bali ungehisi watu wanakuonea wivu ndo maana waliuchuna mpaka mlivyoachana
 
Linafundisha kuwa bdo unaishi ktk zamani, badilika, otherwise utaleta tabu...i thnk u knw what i mean!

waparamiaji wa ndoa utawajua tu!!!... They can not rum from the truth.
 


Dada vipi, raha jipe mwenyewe usisubiri kupewa na usiishi kwa ajili ya mtu ishi kwa ajili yako. Make a u turn and start a new life, laki si pesa million mbwembwe, fanya kazi tafuta pesa acha kuwaza wanaume stop hating for isnt good for your health.

.
 
dont gues! Ndio hali halisi, the guy need psychological healing cuz jana kaweka post anaexpres hatred toward his mama though it wasnt direct!

Sure, nashukuru umenisaidia mpenzi. Natumai hiyo psychological healing siku moja itamneemesha!! Unajua kuna watu wako affected kisaikolojia na utawajua tu kwa vi-theories wanavojaribu kuvicreate!!!
 
Nadhani bado haujafundwa ww. Ushauri wa bure kwako ni kwamba ukitaka kudumu kwenye mahusiano basi sikuzote penda mabaya yote ya mwenziwako.
 
kama ni mumeo na mmeishi si pungufu ya miaka minne ukiondoka imekula kwako , huo ni mtego wa adui(shetani) ; maandiko yanasema
". . . watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ".

nasema hivi kwanza adui hapendi familia zenye utulivu na amani kwani yeye amekuja kuharibu , pili mafanikio yako yapo hapo kwa mumeo na mimi nakuahidi kama huta rejea hata kama una kazi nzuri au biashara nzuri yenye faida kiasi gani .. vyote hivyo hatimaye hutakuwa na chakuonesha kwa kifupi utakufa masikini .

Deliverance ndio ukombozi wa familia yako .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…