Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Kila mtu ashindwe match zake..ila kama ana liwa kwel uwa uhisi kama pussy ulivyo iacha ni tofauti na unavyo ikuta tena ? Binafsi najua kabsa nme iache ivi na nikija naikuta vile vile
Kuiachi ivi na kuita vile vile kivp au ukiiacha imevimba na ukiikuta imenywea?
 
Hajawahi kulala kwakua haujataka au alishakataa?

Mtaa utatoa picha ya mtu uliyenaye. Mfano Korogwe kuna mitaa kama Kirikiri, Mtonga na Kilole yaani ukitoa binti huko inabidi ujiangalie sana
Hajalala kwangu sababu sijataka, na kazi yangu huwa nachelewa kurudi home na huwa nachelewa kutoka asubuhi home so huwa anakuja asubuhi hadi mchana .

Pia bado anaishi kwao
 
Hapa kwenye kumuacha ndio mtihani.. actually sikua na backup kwahio nikimpiga chini nabaki single.. ngoja nijitahidi hii week nipate mchepuko ili nimpige chini mazima..

Kinachoniuma ni kwamba mimi niko faithful sina makandokando
Kwamba lazima uwe unadate?

Huwezi kukaa bila mahusiano kwa kipindi fulani?
 
Nimekoma sirudii tena.. nitakuja kukagua simu ya mtu ninaetaka kumuoa nisije ingia kwenye ndoa na mtu mwenye michepuko
Blaza bnadam hatuaminiki, fahamu kama ulikua ufahamu... kitendo cha wew kutokuona msg za malovee kwny simu ya mpnz wako haimaanish uyo kwako anafaa... mbinu za kucheat zipo nyng sana na we mwnyw unazijua mana ni cheater vile vile .... rai yangu kwako: ishi vile unavoona ni sahh kwako ktk maisha ya sasa ...
 
Kila mtu ashindwe match zake..ila kama ana liwa kwel uwa uhisi kama pussy ulivyo iacha ni tofauti na unavyo ikuta tena ? Binafsi najua kabsa nme iache ivi na nikija naikuta vile vile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweli
 
Kwamba lazima uwe unadate?

Huwezi kukaa bila mahusiano kwa kipindi fulani?
Ninaweza kukaa hata mwaka bila mahusiano.. lkn kuna kuchakata papuchi siku mambo yakipanda unatumia resources nyingi kusaka papuchi. Pia kuna age hii ya utafutaji ,mambo yakiwa magumu unahitaji mtu wa kukupoza na hasira za hii nchi .
 
Hili taifa maadili yameporomoka Sana mwanmke ana toka kwao anaenda kulala kwa mwanaume kbla ajaolewa ..na wee unaenda kumchukuwa kwao na kumrudisha usiku kwao / kwake sijui hili halikubaliki kbsa wew Yule Ni Malaya tu Kama walivyo wengine

Wewe na wew a unamchukuwa miez 2 tu tayari unamwamini kwani alikuwa peke ake.

Taifa hili linaitani Reformation kubwa mnk Raia wake hawajitambui kbsa
 
Hili taifa maadili yameporomoka Sana mwanmke ana toka kwao anaenda kulala kwa mwanaume kbla ajaolewa ..na wee unaenda kumchukuwa kwao na kumrudisha usiku kwao / kwake sijui hili halikubaliki kbsa wew Yule Ni Malaya tu Kama walivyo wengine

Wewe na wew a unamchukuwa miez 2 tu tayari unamwamini kwani alikuwa peke ake.

Taifa hili linaitani Reformation kubwa mnk Raia wake hawajitambui kbsa
Kwahio unatoa maoni gani? Katiba mpya ikataze mahusiano kabla ya ndoa?
 
Hapa kwenye kumuacha ndio mtihani.. actually sikua na backup kwahio nikimpiga chini nabaki single.. ngoja nijitahidi hii week nipate mchepuko ili nimpige chini mazima..

Kinachoniuma ni kwamba mimi niko faithful sina makandokando
Sio kwamba huna makando kando Bali huna hela...lazima usinyae tu[emoji848]

Yaan mwanaume mwenye kazi yake na hela zake agundue demu wake analiwa na kumwagiwa na kidume kingine akae atulie tu kwa hicho kinyaa wee thubutuu[emoji1787][emoji1787]
 
Nimekoma sirudii tena.. nitakuja kukagua simu ya mtu ninaetaka kumuoa nisije ingia kwenye ndoa na mtu mwenye michepuko
Kwahiyo huyu ulitaka kumuoa? Mnaambiwa kila siku ukitaka mahusiano yadumu usishike/usikague simu ya mpenzi wako.. hee hamkomi ona sasa utaacha wangapi
 
Hakunaga demu wa peke ako kwa hii Tanzania ,kikubwa omba tu hao wengine wanaomla wawe salama kiafya ,lasivyo tumia condom ,demu hata ungempa Nini Bado atachepuka tu ,Ni nadra Sana kumpata demu wa peke ako ukizingatia vijana Wana sifa balaa hasa akimiliki kijiusafir Cha m10 huwa wanasumbua Sana .
Sasa jiulize huyo demu wako hatok nje au hadhururi ,haendi sokon na je huko sokon hakuna wanaume.

Vuta picha jinsi ulivyomtaman wewe ndivyo na wengine watamtaman ,pia vuta picha namna alivyokukubalia ndivyo na mwingine atakubaliwa ,.
Note: Hakunaga mwanamke anayeruka mbele ya pesa au vijizawadi zawad vya hapa na pale.
Hii ni kweli kabisa[emoji848]
 
Back
Top Bottom