Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Nikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.


Kwa hiyo ulizani huo uzoefu amefanya kuzaliwa nao?

Kwamba uzoefu huo hajaupata kupitia Umalaya kwa wanaume tofauti tofauti?

Huyo ni mzoefu katika kutumika na wanaume mbalimbali!
 
Nikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.
[emoji23] hiyo hali ilishanikuta mkuu,we piga tu kisela huku unatafuta koloni jipya
 
Kumbe huyo ni demu wako....miez sasa nabebeleza aje gheto lkn haji...

Usiache mwanamke kisa katongozwa binti katongozwa ni kawaida......mfumanie ndiyo umuache
 
kwanini aache hizo sms wakati anajua ana mtu ambaye ni wewe?

na kwanini akuachie simu hapo wakati ana sms hatari kabisa za bwanake mwingine?

hebu nipe namba zake nimuulize😜😜
 
Dah yaani kwa miaka hii kuna mwanaume kaeli anajiaminisha kabisa kuwa mwanamke anamgegeda yeye peke😲😲😲
Kwa kweli vijana hamwajui hawa wanawake...mwanaume akishafika bei mbususu anaipata. Wako ukiwa nae akitoka kwako yoyote anaisasambua mbususu hiyo
Acha kukalili wapo Wanawake wengi wametulia kwenye mahusiano yao
 
Hutaki ushauri lakini unaupokea mbona?Ukifika hatua ya kulazwa kwa maradhi njoo nikupe ushauri we mvulana!
 
Kwa kawaida unapoanza mahusiano na demu mpya jua kuwa huyo demu anajamaake aidha washaambiana kuwa wanakulana kisela tu ama jamaa aliyenaye kabla yako hanamwelekeo wa kumuoa ila jua mechi za kirafiki zitakuwazinachezwa kama kawaida. Kuachana na huyo wa mwanzo ni mpaka pale atakapojihakikishia uhusiano wenu haunashaka yoyote .
 
Hutaki ushauri lakini unaupokea mbona?Ukifika hatua ya kulazwa kwa maradhi njoo nikupe ushauri we mvulana!
Btw siwezi kuact kwa ushauri wa watu mtandaoni.. kwanza unaweza kukuta wengi wanaoshauri hawana hata dem .. wengine unakuta ni madogo waliopata matokeo ya form 4 juzi. So hapa napunguza stress tu.. maamuzi nitafanya mwenyewe..
 
Sio kwamba huna makando kando Bali huna hela...lazima usinyae tu[emoji848]

Yaan mwanaume mwenye kazi yake na hela zake agundue demu wake analiwa na kumwagiwa na kidume kingine akae atulie tu kwa hicho kinyaa wee thubutuu[emoji1787][emoji1787]
Wanaume tutafuteni hela jamani kwa kweli
 
Nimekoma sirudii tena.. nitakuja kukagua simu ya mtu ninaetaka kumuoa nisije ingia kwenye ndoa na mtu mwenye michepuko
Mkuu wewe nae mtu wa ajabu sana. Kumbe huna hata mpango wa kumuoa afu unataka aishi na wewe kizombi zombi ?? Umemuona demu huyo mjinga etiii? Kwa taarifa Yako anafahamu kabisa kuwa wewe ni mpitaji TU na ndo maana anaishi kimachale . Ulivyo mjinga K yenyewe unapewa kisela afu unataka umiliki 100% !!

Wanaume wengine hasara kabisaaa. Unatumia zero cost kwa demu afu bado unataka uwe pekee Yako !!.
 
Eehh unajipigia huku unatafuta mwingine


Ukimpata Mpya, usimuache huyo kwa kumwambia SIKUTAKI, NMEKUACHA .


Kwa sababu sisi wanaume tunaoenda mwanamke anayetupa papuchi muda wowote tunaotaka....

Huyo Mpya anaweza kua nakupa K kwa kuhesabu ... Utamuona naye hafai.
Naunga mkono hoja
 
Haya mambo omba yasikukute.. mtu anakufanyia ushenzi halafu huna guts za kumuacha... sema kuna siku yake nitakachomfanyia atasimulia.
True Gentleman! hawanaga mambo kama haya, Achana na hilo wazo la 'nitakachomfanyia'.

Maadam hakufai, achana naye kiustaarabu itakapofika wakati wa kufanya hivyo, Mpe heshima yake anayostahili, na sio kumuacha kwa vituko na kumwachia maumivu.
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
EndeLEA Kupiga mpaka uchumi ukae vizuri ukishapata mwingine unaingia kwenye ule uchochoro mpaka kw mama J
 
Back
Top Bottom