Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
hapo kwenye bao 4 umetuchota mkulungwa.
 
Hilo nalo ni jambo la kushirikisha watu? Kama unalelewa LAZIMA UUMIE TU, hakuna namna. Fanya kazi zako, jitegemee.
 
Wewe ni mwanaume ama Mvulana au kijana? Mbona unakuwa dhaifu sana kwa mwanamke mwambie ukweli unajua ana mahusiano na X hivyo mpe nafasi ya kuamua mwenyewe. Unapenda k ya bure kumbuka utajitibia kwa gharama na kula kunde kila siku. Achana na udhaifu huo. Simama kama mwanaume. Unajua kbs jamaa linatomba wewe unavumilia. Tafuta hela unataka ufahari wa kupiga bao 4 wakati hauna hata mia mfukoni. Acha kupenda mteremko.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Analelewa huyo, na hiyo ndio STAHIKI YAKE.
 
Kila mtu ashinde match zake..ila kama ana liwa kwel uwa uhisi kama pussy ulivyo iacha ni tofauti na unavyo ikuta tena ? Binafsi najua kabsa nme iache ivi na nikija naikuta vile vile
Mh kwamba umeiacha hivi!!!!![emoji23]
Eh bwana [emoji23]dunia ina mambo mengi !
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Hapo acha kinyaa kula mzigo kiroho safi ila kama ulikuwa na mipango naye futa mipango hiyo ila huduma ya mzigo iendelee kwa amani mpaka pale utapata mwingine
 
Kila mtu ashinde match zake..ila kama ana liwa kwel uwa uhisi kama pussy ulivyo iacha ni tofauti na unavyo ikuta tena ? Binafsi najua kabsa nme iache ivi na nikija naikuta vile vile
Hujakutana na wanawake mkuu hata atoke sasahvi huwezi jua chochote. Dunia Ina fujo nyingi hiii
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Inawezekana huumpi mchuzi wa kutosha ndo maana analuka Luka anyway play ur part man wanawake sikuizi ni pasua kichwa yaani ni kula mzigo unapita iviii
 
Usiwaze kumuacha kwanza mkuu jaribu kumueleza ukweli kwamba unajua kila kitu anachokifanya nyuma ya pazia na usikie anasema nini. Kama Ni mwanamke royal kweli utaona reaction yake na majibu yake kwenye Hilo.

Baada ya hapo endelea kumchunguza taratibu utajua tu hapo ndo utaganya maamuzi ya kumpiga chini.

Ila kupekua sim ya mpenzi mchumba au mke Ni kujipa stress tu
 
Kama huwezi kumuacha basi acha kumfatilia utaumia zaid
 
Kila mtu ashinde match zake..ila kama ana liwa kwel uwa uhisi kama pussy ulivyo iacha ni tofauti na unavyo ikuta tena ? Binafsi najua kabsa nme iache ivi na nikija naikuta vile vile
😁😁😁😁😁
 
MI NAONA TU HAPO UMEJIPA PROMO YA KUMKAZA DEMU BAO 4 NA UKIMUOMBA HAKUBANII

KUHUSU KUKAGUANA SIMU ACHA HIZO MAMBO, HALAFU KAMA HUNA MPANGO WA KUMUOA ACHANA NAE TU USICHEZEE HISIA ZAKE
 
Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Kwahiyo shida zako ndio zinakufanya ushindwe kufanya maamuzi!?
Pambana uzimalize kisha Simama kwenye nafasi ya mwanaume acha Mambo yako haya buana
 
Back
Top Bottom