Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Ndio maana nimesema siangalii tena simu ya mtu.. atleast kushare bila kujua.. lkn ukijua inauma sana.. pia this time sitakua na dem mmoja tena.. hii itafanya hata mmoja akinicheat nisiumie sababu na mimi nina cheat
Tukiwaambiaga hapa kuwa mwanaume unapaswa kuwa na mademu watatu mnachukulia poa
Hawa wanawake wenyewe wanatupanga kama treni...wapo gud at oretending kinoma
 
Tukiwaambiaga hapa kuwa mwanaume unapaswa kuwa na mademu watatu mnachukulia poa
Hawa wanawake wenyewe wanatupanga kama treni...wapo gud at oretending kinoma
Nimejifunza this time sifanyi kosa tena la uaminifu..
 
Nigga mwanamke si haumtaki? Na umekuta chats?

Now hii inakupa advantage ukiamua kuruka majoka.

Akilalamika unakumbushia uliyoyaona.

Halafu wanawake jinsi walivyo ingawa umekuta hizo ishu na haujamuambia siku ukimuambia akiwa amezifuta atakutungia stori ya ni za rafiki yangu na hutakua na angle ya kujishikia.

Also waweza muambia amekukosea sana so inabidi mpite rough road ili umsamehe.

Niliposema hiyo ishu inakupa advantage I meant it.

Kuhusu magonjwa tumuachie Muumba.
 
Haya mambo mnaweka masihara sababu hayajawakuta.. 🙌🙌
Mimi nakuambia uhalisia ( bila hisia )
Tukisema tutazame mipango yako....Utamuoa lini?....Ni yeye kweli utakayemuoa?....Ana umri gani kwa sasa?...
Kwenye hayo mahusiano yeye yupo kwenye hatari zaidi kuliko wewe.
Wewe hata ukiwa na 50 years unaoa vipi kuhusu yeye.
KAMA HUJATOA MAHARI/ KUMUOA HAKUNA CHEATING HAPO.
 
Nigga mwanamke si haumtaki? Na umekuta chats?

Now hii inakupa advantage ukiamua kuruka majoka.

Akilalamika unakumbushia uliyoyaona.

Halafu wanawake jinsi walivyo ingawa umekuta hizo ishu na haujamuambia siku ukimuambia akiwa amezifuta atakutungia stori ya ni za rafiki yangu na hutakua na angle ya kujishikia.

Also waweza muambia amekukosea sana so inabidi mpite rough road ili umsamehe.

Niliposema hiyo ishu inakupa advantage I meant it.

Kuhusu magonjwa tumuachie Muumba.
Unamaanisha niomgee nae tuyamalize kirahisi? Wakati mara ya kwanza nilimuuliza akasema hana mtu na bado anaendelea nae
 
Hatari sana design una vibes fulani ila jipange tembelea mtaa wa kwa lulenge buza, kila mtu ashinde mechi zake, Pablo kachagua kufungwa Utopolo wanaendelea kufungua matawi kwa kasi ya Mgao wa Makamba. Tareirota?Maleirota? Habari jaliamba? Namnaani? Kugona vihi? Kwabwina? Wakashina? Aulamke? Simba wanida kumahwelu wakale imanda!
 
Nigga mwanamke si haumtaki? Na umekuta chats?

Now hii inakupa advantage ukiamua kuruka majoka.

Akilalamika unakumbushia uliyoyaona.

Halafu wanawake jinsi walivyo ingawa umekuta hizo ishu na haujamuambia siku ukimuambia akiwa amezifuta atakutungia stori ya ni za rafiki yangu na hutakua na angle ya kujishikia.

Also waweza muambia amekukosea sana so inabidi mpite rough road ili umsamehe.

Niliposema hiyo ishu inakupa advantage I meant it.

Kuhusu magonjwa tumuachie Muumba.
Kwa hiyo jamaa akazibue chemba au sio🤣🤣🤣🤣
 
Unamaanisha niomgee nae tuyamalize kirahisi? Wakati mara ya kwanza nilimuuliza akasema hana mtu na bado anaendelea nae
No humuulizi muyamalize unamuuliza kumfanya ajue unajua hence uhusiano unakua at your mercy.

Hapo ndiyo utaenjoy advantages nilizokuambia.

Bro hii mbona ni kanuni universal
 
Mimi nakuambia uhalisia ( bila hisia )
Tukisema tutazame mipango yako....Utamuoa lini?....Ni yeye kweli utakayemuoa?....Ana umri gani kwa sasa?...
Kwenye hayo mahusiano yeye yupo kwenye hatari zaidi kuliko wewe.
Wewe hata ukiwa na 50 years unaoa vipi kuhusu yeye.
KAMA HUJATOA MAHARI/ KUMUOA HAKUNA CHEATING HAPO.
Yeye yuko early 20's mimi niko mid 20's.. actually mimi sikua na mpango wa kuoa sasa hivi lkn kwa jinsi tulivyokua tunaenda kabla ya kuona hizo txt nilikua naanza hadi kupata wazo.
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Akija kulala kwako Una mgaiyaga pesa? tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom