Ndugu zangu watawajuaje😅😀 subiri wawatumie ndugu zako wote sms kwamba wewe tapeli
Namba ulizokuwa nazo kwenye simu wao tayari wanazo ... Watakukutengenezea hadi Group la Whatsapp na wataweka hadi picha zako na kiasi ulichokopa .. Yaaan Hadi unakopa tayari ulisha ruhusu wawe na namba zako zote na baadhi ya pichaNdugu zangu watawajuaje😅
Sasa itasaidia nini wakishanitengenezea Hilo group la what's app??Namba ulizokuwa nazo kwenye simu wao tayari wanazo ... Watakukutengenezea hadi Group la Whatsapp na wataweka hadi picha zako na kiasi ulichokopa .. Yaaan Hadi unakopa tayari ulisha ruhusu wawe na namba zako zote na baadhi ya picha
kuna jinsi wana acces majina yako kupita app yao tena haswaa kama unatumia android umekwisha 😀Ndugu zangu watawajuaje😅
NAJUTA Mimi jamani najutaaakuna jinsi wana acces majina yako kupita app yao tena haswaa kama unatumia android umekwisha 😀
Usijute ndio maishaNAJUTA Mimi jamani najutaaa
Sasa itasaidia nini wakishanitengenezea Hilo group la what's app??
Shida ndugu yangu shida mwana haramuIla mbona mikipo yenyewe ya tabu hivyo.. Hata kama ni shida ruvumilie jamani... Nina rafiki yangu mmoja alitengenezewa group akiwa anaitwa tapeli na wameweka picha yake kilichoniuma ni kuwa amekopa elfu 50 ila walichompa ni elfu 32 baada ya makato inamaana yeye atatoa 29 maana wanamtumia kwenye simu. Alafu wanataka arudishe elfu 54
Seems you don't have reputation to protectSasa itasaidia nini wakishanitengenezea Hilo group la what's app??
lipa pesa za watu kamandaNAJUTA Mimi jamani najutaaa
Au nifute namba zote😒Kama hauna mshipa wa Aibu haitakuwa na maana. Ila kama unao lazima uwe na aibu na utaumia nafsi.. Wanakutengenezea group ambalo member ni ndugu zako(ulo save namba namba zote) wanaweka na maneno makali sana (kama Tapeli, muogopeni ni mwizi)
Mkuu nisaidie hata liteni hapo😄 Sina kitu kamandalipa pesa za watu kamanda
epuka hiyo fedhea
😀
To protect what?Seems you don't have reputation to protect
🤣Kama hauna mshipa wa Aibu haitakuwa na maana. Ila kama unao lazima uwe na aibu na utaumia nafsi.. Wanakutengenezea group ambalo member ni ndugu zako(ulo save namba namba zote) wanaweka na maneno makali sana (kama Tapeli, muogopeni ni mwizi)
Sina pesaLipa pesa ya watu...