- Thread starter
- #41
Mbona umeuliza kuwa nisipolipa watafanya nini ?
Sijauliza kwa Nia mbaya mkuu mm ningekuwa na ela ningewalipa mkuu mpaka wanadfikia hatunyakunikopesha laki Moja inaonyesha nilikuwa na bega kwa bega siku zote ila Sasa Sina kitu mkuuMbona umeuliza kuwa nisipolipa watafanya nini ?