Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Kauka Tu! Waache watengeneze Hilo group Lao la sijui la WhatsApp na pia waache watoe hayo matangazo Yao na chochote wafanye, cha muhimu wewe umeshapoza shida zako! Hayo matangazo wewe kwani ni maji ya Moto yakiingia mwili yatakuunguza? Pia alafu elewa kwamba ukipotezea hautaumia, waache Tu wapige kelele sijui wafanye matangazo Yao LAKINI hayatakuwa milele yatafikia siku yatakoma, na wewe utaendelea kupeta. Unakosa usingizi Kwa kelele za kwenye matangazo? Acha ubwege wewe, usiogope, Acha watangaze ikifika usiku watalala Tu!
 
Wakikupigia wambie una wakiforce wajibu mbovu mbovu tu... Na uwakumbushe ulikopeshwa na app yao ivyo ni jukumu la app yao kukumbusha kulipa sio wao kukupigia simu direct, kwa malegendary uwa wanatulia na biti zao...

Mkopo gani eti dhamana nida number! Ndio watakatishaji wenyewe hawa.
 
Kauka Tu! Waache watengeneze Hilo group Lao la sijui la WhatsApp na pia waache watoe hayo matangazo Yao na chochote wafanye, cha muhimu wewe umeshapoza shida zako! Hayo matangazo wewe kwani ni maji ya Moto yakiingia mwili yatakuunguza? Pia alafu elewa kwamba ukipotezea hautaumia, waache Tu wapige kelele sijui wafanye matangazo Yao LAKINI hayatakuwa milele yatafikia siku yatakoma, na wewe utaendelea kupeta. Unakosa usingizi Kwa kelele za kwenye matangazo? Acha ubwege wewe, usiogope, Acha watangaze ikifika usiku watalala Tu!
Dooh ila sio lengo Hilo mkuu Nia yangu ni kuwalipa
 
Wakikupigia wambie una wakiforce wajibu mbovu mbovu tu... Na uwakumbushe ulikopeshwa na app yao ivyo ni jukumu la app yao kukumbusha kulipa sio wao kukupigia simu direct, kwa malegendary uwa wanatulia na biti zao...

Mkopo gani eti dhamana nida number!
Mkuu, si nitahadhirika wakinitengenezea Hilo group la what's app
 
Hii ipoje kisheria, kumdhalilisha mtu kimtandao si ni kosa la jinai? Kukopa na kuchelewesha deni ni kosa la madai
Je mkipambana mahakamani nani ataumia? Akijitokeza mtu mmoja akawanyoosha hata hiyo mikopo wataacha kukopesha
 
Mkuu, si nitahadhirika wakinitengenezea Hilo group la what's app
Sio kujisifu nna experience nao maana maisha ya kibongo ndivyo yalivyo...

Waliwahi kuniletea noma kweli kiasi cha kuwatafuta wale watu niliwajaza na wadhamini, na nilikuwa nimepigika kweli atii... ile kampuni waliyotafuta wadhamini wangu na ikiwa sijavunja nia thabiti ya kuwalipa, nilikata shauli kutokuwalipa na kuwambia makavu kama mnataka kulipwa ntalipa kiasi mlichonipa tu, gharama mkopo sijui riba ndo tumeishana toka mlivyoamua kuyakuza mambo... Wao wakaona kero, wallah sikuwalipa ata cent 5, kampuni zisizo na usumbufu nilifanikiwa kuwarejeshea pesa zao, kwani nlikuwa nmepinda kweli kweli ivyo nilikopa kama kampuni 4, watatu niliwalipa, huyu aliyetafuta wadhamini wangu na app nshaifuta bila kulipa deni...
 
Hii ipoje kisheria, kumdhalilisha mtu kimtandao si ni kosa la jinai? Kukopa na kuchelewesha deni ni kosa la madai
Je mkipambana mahakamani nani ataumia? Akijitokeza mtu mmoja akawanyoosha hata hiyo mikopo wataacha kukopesha
Nani utamshtaki? Wameshindikana hao. Kuna njia tatu tu.
1. Usikope
2. Kopa lipa mapema.
3. Watu wote wanaokopa wasilipe na iwe campain ya wazi ya " Kopa Sepa"

Hii option ya tatu itaziua hizi kampuni zote zinazozalilisha watu na serikali imezishindwa.
 
Wakikupigia wambie una wakiforce wajibu mbovu mbovu tu... Na uwakumbushe ulikopeshwa na app yao ivyo ni jukumu la app yao kukumbusha kulipa sio wao kukupigia simu direct, kwa malegendary uwa wanatulia na biti zao...

Mkopo gani eti dhamana nida number! Ndio watakatishaji wenyewe hawa.
Haya makampuni BOT washasema hayana hata leseni za kukopesha, hayana ofisi popote pale zaidi ya online.

Yanakopesha kinyume cha sheria, so wala usisumbuke kuyalipa hayana pa kwenda. Na namba zako naenda kayanyime Access ya contacts kwenye settings ya simu yako.
 
Haya makampuni BOT washasema hayana hata leseni za kukopesha, hayana ofisi popote pale zaidi ya online.

Yanakopesha kinyume cha sheria, so wala usisumbuke kuyalipa hayana pa kwenda. Na namba zako naenda kayanyime Access ya contacts kwenye settings ya simu yako.
Nifanyaje ku kuwanyima access ya contact za simu yangu
 
Back
Top Bottom