Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akifuta app Yao haisaidii kitu....alipe madeni ya watu alipe...Usiogope kilngozi, wakati unakopa walikupatia Na ilikusaidia sasa hapa chagua moja Kati ya haya mawili
1.Lipa mkopo wao then achana nao au
2.Kila SMS wanayotuma we pigs block, wakipiga simu namba mpya piga block ukishablock namba kama 20 hv utakuwa umewamaliza mwisho watawatafuta watu kadhaa kwenye phonebook yako watawapigia mwisho wataacha.. Futa app yao achana nao (Utadhalilika kiasi maana watakayempigia Mimi na wewe hawatuwajui yamkini baba/mama mkwe usiwaze hayo wewe ni kukaza tu)
Dooh sawa acha tu nikaze ila nkipata nawapaUsiogope kilngozi, wakati unakopa walikupatia Na ilikusaidia sasa hapa chagua moja Kati ya haya mawili
1.Lipa mkopo wao then achana nao au
2.Kila SMS wanayotuma we pigs block, wakipiga simu namba mpya piga block ukishablock namba kama 20 hv utakuwa umewamaliza mwisho watawatafuta watu kadhaa kwenye phonebook yako watawapigia mwisho wataacha.. Futa app yao achana nao (Utadhalilika kiasi maana watakayempigia Mimi na wewe hawatuwajui yamkini baba/mama mkwe usiwaze hayo wewe ni kukaza tu)
Mkuu ningekuwa na pesa ningewalipa mkuu tatizo sina pesa mbona nyuma nilikuwa nakopa na kulipaHata akifuta app Yao haisaidii kitu....alipe madeni ya watu alipe...
Ningekuwa na pesa ningewalipa mkuuLipa kwanza halafu kopa tena.
Hapa lengo la kukopa tena ni Ili wao wakutafute wewe na siyo wewe uwatafute, maana ukirejesha halafu wakawa hawakudai, hawatakutafuta kamwe.
Wakikupigia waeleze kwamba mkopo uliopita walikudhalilisha, kwa hiyo utawapeleka mahakamani kudai fidia ya udhalilishaji maana walitoa siri zako za kifedha.
Waambie unawapa siku moja watume sms kwa contacts zako zote ya kuomba radhi kwa wewe siyo tapeli.
Wakishatuma sms za kukusafisha (utapata majibu toka kwa ndugu), basi Kaa kimya na usiwalipe huo mkopo wa pili.
Hapa utakuwa umewaingiza kwenye mfumo wako; kwanza, hawataweza tena kuwaaminisha watu kwamba wanakudai maana wameshajichanganya kwa kuomba radhi, pili, utakuwa umejilipa fidia ya udhalilishaji maana.
Baada ya hapo, hata wakipiga simu waambie hatudaiani.
Maana kama hawana ustaarabu kwako ni kwanini wewe uwe mnyonge kwao?
Ningekuwa na pesa ningewalipa mkuu
Zaidi ya yote hata picha zako za uchi kama zipo, Au meseji za napenzi kama ulikuwa unachitiKama hauna mshipa wa Aibu haitakuwa na maana. Ila kama unao lazima uwe na aibu na utaumia nafsi.. Wanakutengenezea group ambalo member ni ndugu zako(ulo save namba namba zote) wanaweka na maneno makali sana (kama Tapeli, muogopeni ni mwizi)
Wanatuma what's up kutoka kwenye phone book yake sijui wanapata wapi na wanakuchafua kwamba ni tapeli.Nilishatumiwa Tena mtu aliyekopa ni mtu anaeheshimika nilishangaa .Achana na mikopo hiyoWiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Futa application yao kwenye simu yako.Wiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Ukifuta application yao unaondoa access ya wao kupata contact za ndugu zako.Ni nusu Kwa nusu,. Mbona ni kama matapeli tuu. Ila Kwa kulinda heshima yake alipe tuu. Maana nasikia wanatuma meseji Kwa contact zako zote kuwafamisha kuwa mkopaji ni tapeli. Na wenye wasap watatumiwa picha pia
Yaani matapeli unayaonea huruma mkuu. Unakopa 50k wanakupa 29k then uwalipe 75k?Hii sio sifa bali ni kuharibia watu wenye uhitaji wa kweli wa hiyo mikopo.
Watanzania tujitambue sasa..!
Achana nao watakatisha pesa hao, hawana uwezo wa kukufanya chochote, kwanza hawatambuliki na BOT kama sheria inavyotaka.Nimekopa elfu 78 natakiwa kurudisha laki na elfu nne na ushee
Uzuri huko watakapopiga simu ndio kwanza mtu atajuwa hawa ni wale matapeli wa mtandaoni wa ile pesa tuma kwenye namba hii.Usiogope kilngozi, wakati unakopa walikupatia Na ilikusaidia sasa hapa chagua moja Kati ya haya mawili
1.Lipa mkopo wao then achana nao au
2.Kila SMS wanayotuma we pigs block, wakipiga simu namba mpya piga block ukishablock namba kama 20 hv utakuwa umewamaliza mwisho watawatafuta watu kadhaa kwenye phonebook yako watawapigia mwisho wataacha.. Futa app yao achana nao (Utadhalilika kiasi maana watakayempigia Mimi na wewe hawatuwajui yamkini baba/mama mkwe usiwaze hayo wewe ni kukaza tu)
Hii ndio shida sasa maana haliwagusi wao wana uwezo wa kukopa halali huko mabenkiSerikali imekaa kimya
Umeona wapi hii mikopo ya riba asilimia 80 inamnufaisha mtu!??Hii sio sifa bali ni kuharibia watu wenye uhitaji wa kweli wa hiyo mikopo.
Watanzania tujitambue sasa..!
Angalia taarifa ya habari ya jana UTV ya Azam kuna Boss wa BOT alikuwa studio anahojiwa, zimebaki kama siku 7 katika siku 14 walizopewa hawa watakatisha pesa, viapp vyote vitazimwa.BOT imetoa tamko Hilo lini?
Akifuta application HAWANA access tena.Hata akifuta app Yao haisaidii kitu....alipe madeni ya watu alipe...
Hii nchi ndio maana watu kama Kiboko ya Wachawi wanatutapeli na kutukashifu juu. Halafu tunalia serekali itutetee.Achana nao watakatisha pesa hao, hawana uwezo wa kukufanya chochote, kwanza hawatambuliki na BOT kama sheria inavyotaka.