- Thread starter
- #121
Hapana ilitoka 70 tuAmbayo uliitoka cash n elfu 78?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ilitoka 70 tuAmbayo uliitoka cash n elfu 78?
Wazime kabisa na wao watolewe picha zao adharani kama walivyokuwa wana wa dhalilisha wenzao.Angalia taarifa ya habari ya jana UTV ya Azam kuna Boss wa BOT alikuwa studio anahojiwa, zimebaki kama siku 7 katika siku 14 walizopewa hawa watakatisha pesa, viapp vyote vitazimwa.
Haina maana kwako kama wewe ni muokota makopo na mnywa visungura. Ila kama ni mtu mwenye heshima zake, una familia, una ndugu, una marafiki na watafutaji wenzako mnategemeana kwenye suala la uaminifu ujue hapo unapoteza credibility.Sasa itasaidia nini wakishanitengenezea Hilo group la what's app??
Itakua kampuni ya wazaramoWanakuadd kwenye group pamoja na watu wako wa karibu, wanakuweka dp na kuanza kukusimanga
Your reputationTo protect what?
Vumilia ukihenyeshwa na hao jamaa hadi utakapolipa. Natumaini umepata muongozo.Sina ela mkuu
Wanaorudisha ni wengi kuliko wanaotapeli na riba zao kubwa. Sasa hivi hapa Tz hakuna biashara yenye hela kama ukopeshaji. Wanaofikia level za microfinace wanapiga hela sana.Hivi hao watu wanapata faida kweli kwenye hizo biashara za kukopesha??? Mbona kama wanatapeliwa sana....
Wanapata Faida sana ndo maana kila siku kuna app mpya , wewe unakopa elfu 50 ila wanakupa elfu 32 alafu wanakutaka ulejeshe elfu 55Hivi hao watu wanapata faida kweli kwenye hizo biashara za kukopesha??? Mbona kama wanatapeliwa sana....
Na hawa wakimbiaji si ni wengi piaWanapata Faida sana ndo maana kila siku kuna app mpya , wewe unakopa elfu 50 ila wanakupa elfu 32 alafu wanakutaka ulejeshe elfu 55
Ooh okay sawa, naona ina utapeli mwingi.....katika biashara ambayo siwezi hata kuithubutu ni hii yani huo mtaji wa kukopesha bora nkale kitimoto na bia, hapana asee.Wanaorudisha ni wengi kuliko wanaotapeli na riba zao kubwa. Sasa hivi hapa Tz hakuna biashara yenye hela kama ukopeshaji. Wanaofikia level za microfinace wanapiga hela sana.
😀😀😀sio poaItakua kampuni ya wazaramo
Hii haiwezekaniLipa kwanza halafu kopa tena.
Hapa lengo la kukopa tena ni Ili wao wakutafute wewe na siyo wewe uwatafute, maana ukirejesha halafu wakawa hawakudai, hawatakutafuta kamwe.
Wakikupigia waeleze kwamba mkopo uliopita walikudhalilisha, kwa hiyo utawapeleka mahakamani kudai fidia ya udhalilishaji maana walitoa siri zako za kifedha.
Waambie unawapa siku moja watume sms kuwa contacts zako zote ya kuomba radhi kuwa wewe siyo tapeli.
Wakishatuma sms za kukusafisha (utapata majibu toka kwa ndugu), basi Kaa kimya na usiwalipe huo mkopo wa pili.
Hapa utakuwa umewaingiza kwenye mfumo wako; kwanza, hawataweza tena kuwaaminisha watu kwamba wanakudai maana wameshajichanganya kwa kuomba radhi, pili, utakuwa umejilipa fidia ya udhalilishaji.
Baada ya hapo, hata wakipiga simu waambie hatudaiani.
Maana kama hawana ustaarabu kwako ni kwanini wewe uwe mnyonge kwao?
Pesa sio halali wanatakatisha pesa mfano pesa x cash x twiga loan ni mtu mmojaHivi hao watu wanapata faida kweli kwenye hizo biashara za kukopesha??? Mbona kama wanatapeliwa sana....
umsnichekesha sana aisee😀 subiri wawatumie ndugu zako wote sms kwamba wewe tapeli
Dah kweli nchi ngumu sana unakopa 50 elfu tu inakutoa kamasi mbichi je ingekuwa milioni moja si utauza nyumba.Ila mbona mikopo yenyewe ya tabu hivyo..
Hata kama ni shida tuvumilie jamani.
Nina rafiki yangu mmoja alitengenezewa group akiwa anaitwa tapeli na wameweka picha yake kilichoniuma ni kuwa amekopa elfu 50 ila walichompa ni elfu 32 baada ya makato inamaana yeye atatoa 29 maana wanamtumia kwenye simu. Alafu wanataka arudishe elfu 54
Mbona Mimi waliishia kunipigia Simu tuNamba ulizokuwa nazo kwenye simu wao tayari wanazo ... Watakukutengenezea hadi Group la Whatsapp na wataweka hadi picha zako na kiasi ulichokopa .. Yaaan Hadi unakopa tayari ulisha ruhusu wawe na namba zako zote na baadhi ya picha
Hali ni mbaya mkuu hatukopi kwa kupendaDah kweli nchi ngumu sana unakopa 50 elfu tu inakutoa kamasi mbichi je ingekuwa milioni moja si utauza nyumba.