The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Unaonekana huna cha kupoteza kwenye jamii, huna reputation yeyote, yaani hohehaeTo protect what?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana huna cha kupoteza kwenye jamii, huna reputation yeyote, yaani hohehaeTo protect what?
Nifanye je Sasa kulimaliz hili tatizo?Usijute ndio maisha
😁😁😁 ulikopa ya nini sasa, au ulijua wanagawa..Sina pesa
Lipa deni.Nifanye je Sasa kulimaliz hili tatizo?
Ndio Mimi hohehae nisaidie basi kulipa deniUnaonekana huna cha kupoteza kwenye jamii, huna reputation yeyote, yaani hohehae
Inaonekana huna hafhi ya kuilonsa katika jamii inajokuzungukaTo protect what?
Sina ela mkuuLipa deni.
Ninayo ila ela ndo sinaInaonekana huna hafhi ya kuilonsa katika jamii inajokuzunguka
Kama ndo hivo usilipe tu. Maana hawana cha kukufanyaNdio Mimi hohehae nisaidie basi kulipa deni
Ni nusu Kwa nusu,. Mbona ni kama matapeli tuu. Ila Kwa kulinda heshima yake alipe tuu. Maana nasikia wanatuma meseji Kwa contact zako zote kuwafamisha kuwa mkopaji ni tapeli. Na wenye wasap watatumiwa picha piaIla mbona mikipo yenyewe ya tabu hivyo.. Hata kama ni shida ruvumilie jamani... Nina rafiki yangu mmoja alitengenezewa group akiwa anaitwa tapeli na wameweka picha yake kilichoniuma ni kuwa amekopa elfu 50 ila walichompa ni elfu 32 baada ya makato inamaana yeye atatoa 29 maana wanamtumia kwenye simu. Alafu wanataka arudishe elfu 54
Shida tu mkuu nilikopa niweze ku bind research yangu mkuu Sasa kwa Sasa Sina ela ya kurejeshaPole Sana Ila kwanini sisi waswahili huwa ni wagumu kulipa madeni?
Kuna MTU I respect her Ila kabadilisha hadi number kisa kukopa mitandaoni.
Kopa sehemu nyingine ulipe 🤣Shida tu mkuu nilikopa niweze ku bind research yangu mkuu Sasa kwa Sasa Sina ela ya kurejesha
Ningekuwa na pesa ningewalipa mkuu tatizo sinaNi nusu Kwa nusu,. Mbona ni kama matapeli tuu. Ila Kwa kulinda heshima yake alipe tuu. Maana nasikia wanatuma meseji Kwa contact zako zote kuwafamisha kuwa mkopaji ni tapeli. Na wenye wasap watatumiwa picha pia
Naomba unikopeshe weweKopa sehemu nyingine ulipe 🤣
Alokopa hadi nikaungwa kwenye group lake akiitwa tapeli huwezi amini anakunja 2.5M kwa mwezi kama mshahara tena take home hiyo na bando kuna vimaokoto vya hapa na pale ila jamaa ana utumiaji mbovu wa hela akajikuta kanasa kwenye vi mkopo vyakijinya kama hivi..Unaonekana huna cha kupoteza kwenye jamii, huna reputation yeyote, yaani hohehae
Kweli kabisa hapo cha msingi nikulipa kiasi Cha watu Cha pesa uwe hurulipa pesa za watu kamanda
epuka hiyo fedhea
😀
Mkuu hii sio mara y kwanz kuwakopa nilikuwa nawakopa nawarejeshea ndani ya muda uliopangwa Ila mambo yameenda ndivo sivyo mkuu nimekwama yani sin namna mambo yameenda ndivo sivyo ela sinaHata ungekuwa nayo usingelipa mkuu Mimi nawajua Sana waswahili mbele ya hela
Mkuu sio mara ya Kwanza kuwakopa nilikuwa nawakopa na nawarejeshea ndani ya muda niliopangiwa ILa kwa Sasa mambo yameenda ndivo sivyo mkuuHata ungekuwa nayo usingelipa mkuu Mimi nawajua Sana waswahili mbele ya hela
Mkuu hii sio mara y kwanz kuwakopa nilikuwa nawakopa nawarejeshea ndani ya muda uliopangwa Ila mambo yameenda ndivo sivyo mkuu nimekwama yani sin namna
Mkuu sio mara ya Kwanza kuwakopa nilikuwa nawakopa na nawarejeshea ndani ya muda niliopangiwa ILa kwa Sasa mambo yameenda ndivo sivyo mkuu
Dawa ya deni ni kulipa mkuu, kuna shida gani ukiwalipa fedha yao kama mlivyo kubaliana awali?.NAJUTA Mimi jamani najutaaa