- Thread starter
- #221
Nia ya kuwalipa mkuu ninayo na Sasa hivi nshafuta App Yao pamoja na kua remove access zote za pesa.x kwenye simu yanguMkuu Kuna mambo watu hawayaelewi wanahisi mtu anaamua tu kutokulipa. Nakushsuri ukipata uwalipe. Ili wasiacces contacts zako mamaake uende kwenye settings ukaswitch off permission ya kuaccess contact na app zingine km sms n.k Hapo watakua na contacts mbili tu ulizozijaza km wadhamini. Naurudia tena kiubinadam ukipata walipe
Lengo ni kutosumbuliwa pamoja na kudhalilishwa wakati huo ntapambana niwataftie pesa Yao taratibu Ili niwalipe Sina Nia ya kuwadhurumu