Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Dawa ya deni kulipa, na co kulipa tu, kulipa kwa wakati.
 
Haha, hao wanazingua sana asee! Kwenye suala la kukudai wanadai kama vile umekopa Million kumbe umekopa Tenii tu ..kuna msela wangu walimsumbua wakamtisha kila muda kwa meseji na kumpigia simu..

Aysee, mpaka sitamani kabisa kukopa huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…