Muhsin Snr
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 515
- 806
75,000.mkuu natakiwa kulipa laki Moja na.elfu 5 na vicent kadhaa na Kila siku penelt inaongezeka😀Umekopa pesa shilingi ngapi?.
Kwakwelijasho la mwanaume haliendi bure😀
Unapotaka kukopa hakikisha umefuta namba za watu wako wa muhimuNAJUTA Mimi jamani najutaaa
Dawa ya deni kulipa, na co kulipa tu, kulipa kwa wakati.Wiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
LIP HELA YA WATU MKUU.Wiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
My AccountKwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Sajili laini mpya, isijulikane kwa ndugu zakoNifanye je Sasa kulimaliz hili tatizo?
Lengo halikuwa kutolipa Sema nimekwamaUnapotaka kukopa hakikisha umefuta namba za watu wako wa muhimu
Ila muhimu ni kulipa deni maana hiyo ni biashara
Halafu nkishasajili?Sajili laini mpya, isijulikane kwa ndugu zako
Utakuwa hupatikani, ukipata hela inawalipa. Mi nilifanya hivyo niliwalipa baada ya miaka miwili na walinipa offer ya kulipa bila fainiHalafu nkishasajili?
Kumbuka Sina lengo la kutowalipa Sema ni wasumbufu balaa yani hawataki excuse
Lakini udhalilishaji unakuwa pale pale hata ukitoa line kwenye simuUtakuwa hupatikani, ukipata hela inawalipa. Mi nilifanya hivyo niliwalipa baada ya miaka miwili na walinipa offer ya kulipa bila faini
Kama ilivyotokea kwa TALA 😂😂😂Tuhamasishane tukope tuwauwe😂
Utajuaje wakati hupatikaniLakini udhalilishaji unakuwa pale pale hata ukitoa line kwenye simu
Nisipopatikana huoni ntawapa wasiwasi watu hasa familia wakiwemo wazazi na ndugu wa karibu?Utajuaje wakati hupatikani
Alikua anablock no zote wanazompigia 🤣Huyo ni kauzu zaidi ya dagaa....Hadi wakwe.😂😂😂
Ila sio Kama wameachana naye, wanatabia ya kupumzika kwa muda halafu wanaanza kukuwashia Moto Tena.
Kwani hutegemei kupata hela siku za karibuni?Nisipopatikana huoni ntawapa wasiwasi watu hasa familia wakiwemo wazazi na ndugu wa karibu?
Naona hiyo haisaidii
😀😀Kuna bandiko humu jamaa aliandika jinsi alivyowakomesha watoa mikopo mitandaoni, utafute pengine utapata hints za kukutoa kwenye janga.....75,000.mkuu natakiwa kulipa laki Moja na.elfu 5 na vicent kadhaa na Kila siku
Yeah sitegemei kupata hivi karibuniKwani hutegemei kupata hela siku za karibuni?
Nalipata wapi Sasa😄😀😀Kuna bandiko humu jamaa aliandika jinsi alivyowakomesha watoa mikopo mitandaoni, utafute pengine utapata hints za kukutoa kwenye janga.....