Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Ungesajili laini mpya isiyo na majina ili ukopee, au inyime app ruhusa ya kuaccess contacts zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Line au simu kama hazina majina hawakupi mkopo na usiporuhusu wa access contact zako kabla haujachukua mkopo hupewiUngesajili laini mpya isiyo na majina ili ukopee, au inyime app ruhusa ya kuaccess contacts zako
hahahaaKila mtu anadangia Jambo lake bna
Ni kweli mkuuDawa ya deni kulipa, na co kulipa tu, kulipa kwa wakati.
Ukiinyima app ku access information unakosa vigezo vya kukopaUngesajili laini mpya isiyo na majina ili ukopee, au inyime app ruhusa ya kuaccess contacts zako
Ukope wewe halafu usumbue serikaliSerikali imekaa kimya
Kwa hiyo ulikopa ili uwaibie?Sasa itasaidia nini wakishanitengenezea Hilo group la what's app??
Pole sana, Kuna jamaangu Moja kadharirika sana na awo jamaa wa pesa mtandaoni.Wiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
ASante mkuu, ila Kuna shida nyingine huwez Kaa nazo lazima uzitatue,, niliwakopa Ili niweze ku print research yangu pamoja na.ku bind nisingeweza ku submit research nisingeweza ku graduate huu mwaka,, maana deadline ilikuwa imepita takribani mwezi mzima, ndo nkapewa mwezi mzima Wa kukamilisha research yangu nilikuwa Sina budi kukopa Ela .Pole sana, Kuna jamaangu Moja kadharirika sana na awo jamaa wa pesa mtandaoni.
Ni kweli shida aina adabu lkn Bora ukawa na shida zako kuliko kuwakopa hawo Jamaa.
Jamaa noma walininyoosha sanaWanachoogopa ni vile vitisho vyao maana jamaa hawapoi. Wanakuacha ulale ila ikifika asubuhi wanaanza na wewe.
Hapana mkuuKwa hiyo ulikopa ili uwaibie?
Nani utamshtaki? Wameshindikana hao. Kuna njia tatu tu.
1. Usikope
2. Kopa lipa mapema.
3. Watu wote wanaokopa wasilipe na iwe campain ya wazi ya " Kopa Sepa"
Hii option ya tatu itaziua hizi kampuni zote zinazozalilisha watu na serikali imezishindwa.
Nimechecheka kama mazuri😄Mbona kuna chama wakwepa madeni kiko fb. Kule kuna vijana wa hovyo wanadaiwa na app zaidi ya 38 na hawana hofu wala nini.
Basi sajili line mpyaUkiinyima app ku access information unakosa vigezo vya kukopa
Wamewahi kufanya nini kwa mteja ambae hajalipa??Chexea kote sio oya balaaaa