Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hii nchi ukiwa na pesa utaendelea kuwa tajiri kwasababu maskini hana mteteziMamlaka zimelala,hizi applications zimekua nyingi sana,ni watakatishaji fedha wa wazi..BOT wamechelewa sana kuchukua hatua,hawa jamaa wana ukwasi wa hatari! Wanatumia umasikini na ujinga wa watanzania kuwaibia..
Mtanzania akiwa na shida we mpe form ya vigezo na masharti wala hatasoma,ataishia kusaini tu,na hapo ndio mnapopigwa! Huwezi kuamini wanasema Tanzania kuna pesa za bure..angalia pia kwenye makampuni ya kamari! Na msitegemee hali kubadilika kwa sababu kuna wakubwa wananufaika na pia wapo kwenye payroll ya hawa mabwana.
Ni kweli mamlaka za udhibiti siyo zimelala bali zinanufaika Kwa namna Moja au nyingine....Mamlaka zimelala,hizi applications zimekua nyingi sana,ni watakatishaji fedha wa wazi..BOT wamechelewa sana kuchukua hatua,hawa jamaa wana ukwasi wa hatari! Wanatumia umasikini na ujinga wa watanzania kuwaibia..
Mtanzania akiwa na shida we mpe form ya vigezo na masharti wala hatasoma,ataishia kusaini tu,na hapo ndio mnapopigwa! Huwezi kuamini wanasema Tanzania kuna pesa za bure..angalia pia kwenye makampuni ya kamari! Na msitegemee hali kubadilika kwa sababu kuna wakubwa wananufaika na pia wapo kwenye payroll ya hawa mabwana.
Sawa mkuuJiandae kuaibishwa
Wana uwezo mdogo sio kama huo, binafsi nimewapiga 350k as a trial. Wana teknolojia ndogo na ndio maana wanarely sana kwenye vitisho.Kama app kwenye simu wanaona kila kitu. Hata wanauwezo wa kujua location uliyopo pamoja na kutumia camera ya simu yako kupiga picha pale unapoitumia simu. Jamaa wana mitambo ya hatari . Hao wachina na wahindi wanaozagaa mjini ndio kazi. zao
kweli bro kiasi gani kimebakia mkuuHali ni mbaya mkuu hatukopi kwa kupenda
Sijalipa mpaka Sasa hivikweli bro kiasi gani kimebakia mkuu
Haiwezekani lazima utumie namba yako ya nidaHawa mm nmeshapanga siku nitawatafutia simu mpya na namba za nida za mtu mwingne
Nikisajili line mpya kwa ma free lancers bila kutumia namba yangu ya NIDA na contact ni zangu kwa majina tofauti na mke wangu kisha nikawutumia picha ya Usher Raymond watafanyaje!Namba ulizokuwa nazo kwenye simu wao tayari wanazo ... Watakukutengenezea hadi Group la Whatsapp na wataweka hadi picha zako na kiasi ulichokopa .. Yaaan Hadi unakopa tayari ulisha ruhusu wawe na namba zako zote na baadhi ya picha
Bado hawaja kukera mkuu hao watatuma meseji kwa contact zoteee za kwenye phone book yako! Kuna jamaa aliwakopa cha moto alikiona hadi boss wake nami nilipata meseji kuwa nime mdhamini. Ilihali sijadhaminiWiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Weka picha tuoneWiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
PoleeeeNAJUTA Mimi jamani najutaaa
Tatizo watanzania hatuna uelewa wa mambo. Sidhani kwamba kuna sheria ya kutuma message kwa watu kwamba mtu unaye mdai ni tapeli.Ni nusu Kwa nusu,. Mbona ni kama matapeli tuu. Ila Kwa kulinda heshima yake alipe tuu. Maana nasikia wanatuma meseji Kwa contact zako zote kuwafamisha kuwa mkopaji ni tapeli. Na wenye wasap watatumiwa picha pia
Kama iPhone jekuna jinsi wana acces majina yako kupita app yao tena haswaa kama unatumia android umekwisha 😀
Acha wapigwe tu. Wakati mwalimu wa hesabu anafundisha kuhusu riba wao walikuwa wanakula makamasi. Yaani hapo anarudisha zaidi ya 80% ya hela aliyopokea. Hata kama hiyo hela anaizungusha hawezi pata 80% yake. Watu wengi hutanguliza hisia badala ya kukaa chini na kupiga hesabu kama mkopo unalipika. Kimsingi riba ikishazidi 20% kwa mwezi basi huo mkopo ni ngumu kuulipa.Ila mbona mikopo yenyewe ya tabu hivyo..
Hata kama ni shida tuvumilie jamani.
Nina rafiki yangu mmoja alitengenezewa group akiwa anaitwa tapeli na wameweka picha yake kilichoniuma ni kuwa amekopa elfu 50 ila walichompa ni elfu 32 baada ya makato inamaana yeye atatoa 29 maana wanamtumia kwenye simu. Alafu wanataka arudishe elfu 54