hongera mkuu, mayai unauza auKama hivi mkuu me nirudi kupanga tena sinza si Dish litakuwa limeyumba!
View attachment 1259772
View attachment 1259775
Angalizo kama wewe sio mpokea rushwa ni mfanyakazi,mfanyabiashara, kama bado unahitaji kunywa pombe kila siku utajuta!!!
Mimi hapo ndio nimemaliza, wewe kalime kilimo cha matikiti WhatsApp.Kwako ndo unaona ujanja umemaliza hapo ukitoka out
Yaaani utakuta mtu ananunua kiwanja nje ya mji halagu pia kidogo..mi nashangaa hasaKusema ukweli wangu Mimi binafsi hata Bunju siwezi kujenga kwa ajili ya kuishi labda nijenge Guest house, ndio sembuse kerege?
Tutumie akili zetu vizuri, kuna maeneo ukinunuwa ni maandalizi ya maisha ya ustaafu utakakapokuwa huna safari za kutoka kila siku, unataka eneo kubwa kwa ajiri ya ufugaji na makazi ya uzeeni.
Kwenda kununuwa kiwanja chs 20 kwa 20 Kerege ni matumizi mabovu ya akili.
Really? Serious?Watoto wetu hao...
Point mujarabu Kabisa...Ndio maana nasema, kumiliki kiwanja ni biashara ya kimasikini. Kama una idea ya biashara bora uizungushe hiyo hela ule matunda yake ukiwa kijana.
Ukikimbilia kumiliki kiwanja utakufa masikini na ndugu yako waje kuuana kisa mirathi.
Wanasema kiwanja kinapanda bei ila wanasahau kuwa inflation nayo inagonga vilevile.
Utakuta mtu anakwambia alinunua kiwanja 1M miaka 10 badae anauza kwa 10M. Hapo anasahau kuweka time value of money.
Akili ya biashara wanaiweza Wachaga. Sasa Mhaya atauza nn na mbwembwe zile?Point mujarabu Kabisa...
Binafsi Hizi hesabu za Kiwanja kinapanda thamani huwa sizielewi kabisa.Akili ya biashara wanaiweza Wachaga. Sasa Mhaya atauza nn na mbwembwe zile?
75m hamuuzii mtu hapo utakuja kununua 20m tena akikusumbua mno. Njaa mbaya nduguBinafsi Hizi hesabu za Kiwanja kinapanda thamani huwa sizielewi kabisa.
Nakumbuka mwaka juz Kuna Eneo Eka 1 lilikua linauzwa 25mil uko Kibaha-machinijioni.
Jamaa kashaur sana tununue ili tunapakane Jamaa anauza bei Rahisi Mno.
Nkasema, Nkinunua likakaa afu cha kuwekeza sina Itakua HASARA.
Mwenzangu kanunua, Mi nkaendelea na Na Kuimarisha biashara zangu ile 25mil nkaiingiza kwny mzunguko.
Mwezi Ulopita, Baada ya Biashara kuchanganya vizur.
Nmenunua Kiwanja kizur zaidi Ukubwa ule ule pale pale maili 1 kwa 85mil kikiwa na tofali 219 za block
Ila Sijutii, maana kimenunuliwa mda muafaka kabisa kwa ajili ya kukitumia.
Jamaa angu, Biashara zake zimeyumba.
Hana bajeti tena ya kupaendeleza.
Na manispaa wanamzingua kua kama hatopaendeleza ananyang'anywa hati ya umiliki ifikapo DEC mwaka huu.
Kiwanja chake nakiona bado kipo tu kinaendelea tu kusubiri mteja mwezi wa 3 sasa maana katangaza Anauza 75mil.
Wewe jamaa umenichekesha sana... kwamba afanye yote ila asiache kunywa Pombe?Ishu si gharama kijana tayari umejenga iyoo ni jambo LA kushukuru kwanza kama unapesa tafuta mifugo uiweke apo na ulianzi ambao ni mguu wa kuku ambao utakuwa ulinzi kwako tena ongeza na kaeneo kingine tafuta biashara maisha yaendelee. Usiache kunywa pombe kwa kukwepa gharama ongeza vyanzo vya mapato unywe pombe bila stress
Mbona Maisha hayapo Serious kiasi hicho Mkuu.Dada mwenyewe anayesema anapata zaidi ya 200k kwa siku anaishi Kahama, sasa huko kuna biashara gani ya 200k na muda wa kushinda jf
Ndugu katika maisha ukisema uige mtu husogei....nmchukua mkopo nkatoa kitu mwandege navutia kasi tu mwendokasi uje wakati now nakula daladala zangu mwandege posta...i..wakati kuna jamaa zangu walibeba mkopo wakanunua harrier tako la nyani now linawala tu mafuta.....watu wanapiga kelele za kupanga nyumba sinza sijui tabata hawajui hizo ni investmwnt za wajanja miaka 20 nyuma na miji inakua kwa kasi.....nakumbuka maza alinambia mbezi beach pale makonde tu walikua wanalazimishwa kununua kiwanja...mwisho wa siku akili ya kuazima changanya na yakoYAANI UKISOMA KOMENTI ZA BAADHI YA WADAU HUMU,
HALAFU WEWE ND'O UNA KIWANJA CHAKO NJE YA MJI HUKO KAMA VILE VIKINDU, CHANIKA MAPINGA N.K
UNAWEZA UKAJIONA BONGE LA NDEZI NA UKATAMANI KUKITELEKEZA KABISA KIWANJA CHAKO-
KUMBE WENGI WAO WANAKOMENTI WAKIWA SEBLENI KWA SHEMEJI ZAO WANASUBIRIA UGALI WA SHIKAMOO NA HAWANA HATA GODORO LA FUTI 2½ KWA 6 !!!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkiitwa mazuzu msiwe mnabisha, heka 1 ni 70×70 = 4900 Sqm.Binafsi Hizi hesabu za Kiwanja kinapanda thamani huwa sizielewi kabisa.
Nakumbuka mwaka juz Kuna Eneo Eka 1 lilikua linauzwa 25mil uko Kibaha-machinijioni.
Jamaa kashaur sana tununue ili tunapakane Jamaa anauza bei Rahisi Mno.
Nkasema, Nkinunua likakaa afu cha kuwekeza sina Itakua HASARA.
Mwenzangu kanunua, Mi nkaendelea na Na Kuimarisha biashara zangu ile 25mil nkaiingiza kwny mzunguko.
Mwezi Ulopita, Baada ya Biashara kuchanganya vizur.
Nmenunua Kiwanja kizur zaidi Ukubwa ule ule pale pale maili 1 kwa 85mil kikiwa na tofali 219 za block
Ila Sijutii, maana kimenunuliwa mda muafaka kabisa kwa ajili ya kukitumia.
Jamaa angu, Biashara zake zimeyumba.
Hana bajeti tena ya kupaendeleza.
Na manispaa wanamzingua kua kama hatopaendeleza ananyang'anywa hati ya umiliki ifikapo DEC mwaka huu.
Kiwanja chake nakiona bado kipo tu kinaendelea tu kusubiri mteja mwezi wa 3 sasa maana katangaza Anauza 75mil.
wenger, tanga sehemu gani? sehemu mzuri.. Kange Kasera kubaya, udongo ufinyanzi kwa mvua za sasa shida balaa! asra, uzunguni bei zao kubwa sana... over 20M
Kumbe nina jirani humu,msumi sehemu ipi mkuu.Hapa umenisema kabisa. Nimeacha nyumba kubwa nzuri Msumi nimerudi NHC Ubungo kodi laki mbili . Kule mafuta kwa mwezi laki nne bado foleni, kuchelewa kulala na kuwahi kuamka. Watoto huwaoni hadi weekend. Juu ya yote gharama za maisha bidhaa bei juu sana . Tufikirie sasa vertical building extension.
Kwani nyarugusu hakuna outing ? Umeshafika Nyarugusu ?Inawezekana wewe umekomaa vigimbi lakini siyo akili,
Nyumba ya million 50 ni Dar na kwa taarifa yako Mimi real estate ndio fani yangu.
Kutoka harusini saa 8 usiku kudrive km 50 huu nao ni zaidi ya uwendawazimu.
Kama umezaliwa kijijini Nyalugusu ni lazimà ushangae swala LA outing, kila MTU na hobby take mwingine disco mwingine live band mwingine matamasha.
Bado mkuu Adi mwakani mwezi wa nne nitakuwa na 200 wanaotaga 90% Nina uhakikahongera mkuu, mayai unauza au
Hata nimeshituka ununue kiwanja 85,000,000/= kibaha mail8 moja?Mkiitwa mazuzu msiwe mnabisha, heka 1 ni 70×70 = 4900 Sqm.
Let's say 10,000/= per square meter times 4900 = 49,000,000/=
Hiyo ni bei ya kigamboni au kama una muda uliza wizarani bei elekezi kwa kila sehemu, naandika haya kama mtaalam wa real estate. Mnapigwa kifala sana.
Akishakua kwake kwa vyovyote kuna hela nyingi atakua anaokoaKwa gharama unaweza kuwa sahihi. Ila socially akiwa Sinza atapata muda wa kuona hata familia. Huko Kerege ndio unaamka SAA 10 watoto wamelala, unarudi SAA 4 watoto wamelala