NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,952
- 1,181
Eti mtu na familia yako ukaishi kinondoni kweli una akili timamu? Si ndo matokeo watoto wanakuja kuwa mateja na Machangudoa.
Umefumania milioni kumi na tano,umeajiriwa,muda wa kufanya mambo yako binafsi ni mchache sana hivyo huwezi kusimamia biashara. Swali,anayeamua kujenga hata kama siyo kwa kumaliza na atakayefanya biashara katika hali kama hiyo nani anazika pesa mkuuNdio maana nasema, kumiliki kiwanja ni biashara ya kimasikini. Kama una idea ya biashara bora uizungushe hiyo hela ule matunda yake ukiwa kijana.
Ukikimbilia kumiliki kiwanja utakufa masikini na ndugu yako waje kuuana kisa mirathi.
Wanasema kiwanja kinapanda bei ila wanasahau kuwa inflation nayo inagonga vilevile.
Utakuta mtu anakwambia alinunua kiwanja 1M miaka 10 badae anauza kwa 10M. Hapo anasahau kuweka time value of money.
Mbona Arusha hamna changamoto za usafiri au haupo Arusha tena
Poa poa,niliona uzi wako wa kufungua pub jukwaa la biashara ndiyo maana nikakuuliza hivyoNilikuwa Dar
Usafiri wenye afadhali ni piki piki japo usalama wake siyo mzuri sana. Angeuza hiyo gari anunue piki pikiPole sana kwa haya maswahibu. Sio jambo jema kujenga nyumba zaidi ya km 20 kutoka sehemu yako ya biashara au kazi.
Nilipoona hii post imenishtua kidogo, maana nimetoka kununua kiwanja juzi tu hapo Kerege CCM. Ila nachoshukuru ni kwamba Dar es Salaam sio sehemu yangu ya Biashara au ajira. Mara nyingi nikiwa Dar ni sehemu tu ya kupumzika.
Badilisha mbinu na mitindo ya maisha. Siafikiani sana na bajaji au bodaboda maana usalama ni mdogo sana kwa umbali huo mrefu.
Kama utaweza chagua siku za kutumia gari yako binafsi kwenda Kazini itafaa. Fikiria labda kwa week utumie gari yako mara tatu au mbili kwenda kazini na siku zilizobakia utumie usafiri wa Umma. Gharama utakazo okoa hapo, wekeza kwenye kuimarisha ulinzi wa nyumba yako na ipendezeshe uipende zaidi.
Au pesa hizo wekeza kwenye biashara ambayo itakuwa mahususi kwa gharama zingine.
Kuna mtu anatoka kiluvya hadi kurasini anatumia masaa 3 kwenda na 3 kurudi.Sema Moro to Ubungo, au kimara na kibamba. Kama utafanya reference hiyo, utatoka moro saa kumi..utafika ubungo saa moja asubuhi.. utafika posta saa tatu.
Ningekuwa nimeajiriwa, hata ningepata 10M, ningeacha kazi right away na kufocus kwenye biashara 24/7.Umefumania milioni kumi na tano,umeajiriwa,muda wa kufanya mambo yako binafsi ni mchache sana hivyo huwezi kusimamia biashara. Swali,anayeamua kujenga hata kama siyo kwa kumaliza na atakayefanya biashara katika hali kama hiyo nani anazika pesa mkuu
Mkuu ni ujinga tu, umesema kweli, ma poyoyo wengi wanadhani kuwa na gari inakubeba kila siku ni akili,kumbe ujinga, tembeza mwili kwa miguu ni afya, unang'ang'ania gari inayokusababishia maradhi kibaoKama mtu ni educated anaweza hata kutembea kwa mguu, ila kama ameenda shule lakini hakuelimika itakuwa ngumu. Maisha wengi yanawashinda kwa kutokuwa na ujasiri wa kujishusha wakati hali inakushusha. Wewe unan'ang'ania juu mpaka tawi linakatika unadondoka ndii. Kama ni kijana let say 30s au 40s anaweza kununua kapikipiki kadogo kakamtoa huko kerege hadi Tegeta nyuki, anakawekesha anapanda daladala yake hadi town. Ila kuamka ni saa 11 kama ameajiriwa
Sikukatalii mkuu ila hiyo mentality ni wachache sana wanayo. Kuna watu kibao humu wanakuja kuomba wazo la biashara ya 50mil,ni mweupe kichwani utadhani katokea sayari nyingine muda si mrefu.Ningekuwa nimeajiriwa, hata ningepata 10M, ningeacha kazi right away na kufocus kwenye biashara 24/7.
Watu wanaacha kazi kisa tu amepata 5M mtaji wa biashara sasa wewe wa 15M inakuwaje hapo?
Ishu ni suala la determination, focus na hard working. 15M ni mtaji mkubwa sana wa kutengeneza cashflow ya 10-15M na faida ya 2-3M kwa mwezi.
Mkuu mwandege town kabisa paleNdugu katika maisha ukisema uige mtu husogei....nmchukua mkopo nkatoa kitu mwandege navutia kasi tu mwendokasi uje wakati now nakula daladala zangu mwandege posta...i..wakati kuna jamaa zangu walibeba mkopo wakanunua harrier tako la nyani now linawala tu mafuta.....watu wanapiga kelele za kupanga nyumba sinza sijui tabata hawajui hizo ni investmwnt za wajanja miaka 20 nyuma na miji inakua kwa kasi.....nakumbuka maza alinambia mbezi beach pale makonde tu walikua wanalazimishwa kununua kiwanja...mwisho wa siku akili ya kuazima changanya na yako
Tanga Yarabi Toba. Mapenzi nje nje!Hakika Mkuu,waje Tanga withini 15 Km,400 mita toka kwenye lami wanapata Kiwanja kwa shs 4mln kwa plot ya 600 square metre na ni approved surveyed,maji na Umeme viko
Tanga Yarabi Toba. Mapenzi nje nje!
Kwa hiyo kwa kutokua na gari hautaugua kamwe. Akili za wabongo kama Kamongo. Tunaishi kama digidigi huko maporiniMkuu ni ujinga tu, umesema kweli, ma poyoyo wengi wanadhani kuwa na gari inakubeba kila siku ni akili,kumbe ujinga, tembeza mwili kwa miguu ni afya, unang'ang'ania gari inayokusababishia maradhi kibao
Tuelimike jamani, Kama umejenga amua ukae huko au ukae kwengine nyumba yako ipo tu haiyendi popote Kerege kutachangamka japo sio leo.
Aliyetoa ushauri wa kutumia daladala amekusaidia, chukua ushauri. Gari sio fahari ni maradhi
Kama ukitaka kuishi mbali kama huko Kerege, unatakiwa uwe na cash flow ya uhakika na utengeneze modality ya kutopoteza muda wako kwenye mafoleni.Sikukatalii mkuu ila hiyo mentality ni wachache sana wanayo. Kuna watu kibao humu wanakuja kuomba wazo la biashara ya 50mil,ni mweupe kichwani utadhani katokea sayari nyingine muda si mrefu.
Kuepuka foleni uwe na nyumba 2 moja mjini nyingine keregeKama ukitaka kuishi mbali kama huko Kerege, unatakiwa uwe na cash flow ya uhakika na utengeneze modality ya kutopoteza muda wako kwenye mafoleni.
We nae unaulizwa maswali umekimbia!Masaa mawili- matatu kufika kazini/nyumbani
Una swali gani?We nae unaulizwa maswali umekimbia!
Ukiona Uzi umepoa unatupiamo kakomenti mwishoni unapotea tena!
Tujibu maswali yetu au hii chai?