Najuta kuhamia kwangu Kerege

Umefumania milioni kumi na tano,umeajiriwa,muda wa kufanya mambo yako binafsi ni mchache sana hivyo huwezi kusimamia biashara. Swali,anayeamua kujenga hata kama siyo kwa kumaliza na atakayefanya biashara katika hali kama hiyo nani anazika pesa mkuu
 
Usafiri wenye afadhali ni piki piki japo usalama wake siyo mzuri sana. Angeuza hiyo gari anunue piki piki
 
Sema Moro to Ubungo, au kimara na kibamba. Kama utafanya reference hiyo, utatoka moro saa kumi..utafika ubungo saa moja asubuhi.. utafika posta saa tatu.
Kuna mtu anatoka kiluvya hadi kurasini anatumia masaa 3 kwenda na 3 kurudi.

Foleni hiyo tena anatumia public transport.

Hapo anajitapa anakaa kwake.
 
Umefumania milioni kumi na tano,umeajiriwa,muda wa kufanya mambo yako binafsi ni mchache sana hivyo huwezi kusimamia biashara. Swali,anayeamua kujenga hata kama siyo kwa kumaliza na atakayefanya biashara katika hali kama hiyo nani anazika pesa mkuu
Ningekuwa nimeajiriwa, hata ningepata 10M, ningeacha kazi right away na kufocus kwenye biashara 24/7.

Watu wanaacha kazi kisa tu amepata 5M mtaji wa biashara sasa wewe wa 15M inakuwaje hapo?

Ishu ni suala la determination, focus na hard working. 15M ni mtaji mkubwa sana wa kutengeneza cashflow ya 10-15M na faida ya 2-3M kwa mwezi.
 
Mkuu ni ujinga tu, umesema kweli, ma poyoyo wengi wanadhani kuwa na gari inakubeba kila siku ni akili,kumbe ujinga, tembeza mwili kwa miguu ni afya, unang'ang'ania gari inayokusababishia maradhi kibao

Tuelimike jamani, Kama umejenga amua ukae huko au ukae kwengine nyumba yako ipo tu haiyendi popote Kerege kutachangamka japo sio leo.

Aliyetoa ushauri wa kutumia daladala amekusaidia, chukua ushauri. Gari sio fahari ni maradhi
 
Sikukatalii mkuu ila hiyo mentality ni wachache sana wanayo. Kuna watu kibao humu wanakuja kuomba wazo la biashara ya 50mil,ni mweupe kichwani utadhani katokea sayari nyingine muda si mrefu.
 
Mkuu mwandege town kabisa pale
 
Kwa hiyo kwa kutokua na gari hautaugua kamwe. Akili za wabongo kama Kamongo. Tunaishi kama digidigi huko maporini
 
Sikukatalii mkuu ila hiyo mentality ni wachache sana wanayo. Kuna watu kibao humu wanakuja kuomba wazo la biashara ya 50mil,ni mweupe kichwani utadhani katokea sayari nyingine muda si mrefu.
Kama ukitaka kuishi mbali kama huko Kerege, unatakiwa uwe na cash flow ya uhakika na utengeneze modality ya kutopoteza muda wako kwenye mafoleni.
 
Kama ukitaka kuishi mbali kama huko Kerege, unatakiwa uwe na cash flow ya uhakika na utengeneze modality ya kutopoteza muda wako kwenye mafoleni.
Kuepuka foleni uwe na nyumba 2 moja mjini nyingine kerege
 
Masaa mawili- matatu kufika kazini/nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…