Najuta kuhamia kwangu Kerege

Unawaambia watu ambao mmoja kasema anapata 200k Kwa siku wamemshambulia hadi kabadili gear angani? Hawawezi kukuelewa
 
Posta Mpya. Dar
mkuu jipange tu magari ya kwenda town (makumbusho) yapo mengi sana ukidamka..pia wakati wa kurudi yapo ingawa ukichelewa fika makumbusho (kumi na moja na kuendelea) yanakuwa yakugombania kaa ya mbagala, kutoka kwako kwenda kituoni chukua bajaji gharama zake kidogo sana ukilinganisha na unavyongurumisha gari hadi town (km 80 approx kwenda na kurudi)
 
Mimi nakushauri kama una mchumba muoe maana kuoa ni ulinzi wa nyumba, ni rahisi hata kufuga maana dada wa kazi atakuwepo na kaka wakutunza mifugo so mchana kutakuwa na usalama na mchumba kama hafanyi kazi atasimamia mifugo, mfungulie na biashara maeneo ya huko huko utaona faida ya kuoa kama ukipata mwanamke mwenye akili na mpambanaji
 
Ndugu, tegemea kuitwa kila aina ya majina kwa wajuaji ila kwa tunaojua thamani ya kuizungusha pesa ilete mrejesho wa maana zaidi tunakuelewa.
 
Usikariri, kama kwako hayaendi usifikiri hayaendi kwa wote. Binafsi kipindi cha Mkwere nilikula maisha kwa pesa ya mzee, pesa hasaa ikaja ikakata tukala msoto haswaaaa! Ila sasa hivi ninajimudu vilivyo kipindi hiki, ninatengeneza pesa.

Usikaririshwe, mfano mdogo tu, angalia sasa hivi namba za gari zimefikia herufi ipi.
 


Nikiwa sema zamani...hiki ni kipindi cha kutengeneza matajiri wapya km mtu unajiweza!unajua sie wabongo nimekuja jua kitu kimoja..runapenda shortcut...ss km era hzi hazitak short cut kwann uendelee kufanua hvyo??lols!ukiwa na documentation zainazohitajika kila kitu kinakaa sawa!
 



Mkuu kwa taarifa yako sasa hv huko nje hela zinapatikana vzr tu!usikariri
 
Japo sipajui huko kerege lakin naona huna tofauti sana na mm nae ishi mkuranga Pwani halaf unapiga mishe mikocheni Dar.
Though binafsi napenda sana kuishi nje ya mji and am comfortable that way.
Natumia usafir wa umma na nafika kwa kibatuani saa 7:30am natoka home saa 5:00am.
Ila inachosha sana kiasi kwamba weekend unapumzika mpaka sio vizur yan
 
Ukijenga maeneo ya ndanindani mbali na barabara kuu kwa maeneo hayo,
Yabidi shughuli zako ziwe maeneo ya jirani, kama vile Bunju au Tegeta Nyuki.
Kweli km8 kutoka barabarani ni nyingi sana ukiamua kwenda kukaa mbali basi bora katibu na barabara kubwa
 
Kweli km8 kutoka barabarani ni nyingi sana ukiamua kwenda kukaa mbali basi bora katibu na barabara kubwa
Karibu na barabara kubwa ili upanuzi wa barabara ukitokea wakuondoe?
 
Point of correction Kimara sio porini na pia kutoka kimara Mwisho stendi ya mwendokasi mpaka posta ni Km 16 hivyo sio mbali kama maeneo ya Mbweni au Madale. Aliyejenga Kimara mie simlaumu hata kidogo
 
Ahahahah.Hapo kwenye kuwaona watoto ndio haswaa.Binafsi toka tumalize jumapil pamoja sijaonana nao leo inaenda siki ya pil.Angalau firs5 born yy huwa anawah kuamka kujiandaa shule atleast mnaweza gongana alfajir au usiku akichelewa homework zake.Wengine ni mpaka Mungu apende kama sio weekend.
So sad

NB:
Niliamua kujenga na kuhamia huku cz wife yy ni mtumishi wa serikal na so tulikua temeke but nikaona kwake ingekua mateso sana kwennda na kurud kazin plus kazi za nyumbani na ku take care watoto ingekua ishu.so nikaona acha mm ndio nipambane na hali ili wife awe jiran na ofis.
 
Halafu watu manakaa MAPINGA na wanapiga kazi mjini. Ni mipango tu na wala sio mbali kihivyo. Na soon mwendo kasi nayo itakuwa road ya tegeta hakutakuwa mbali kihivyo kama watu wanavyofikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…