Najuta kuhamia kwangu Kerege

Hakuna kitu muhimu kama kutafuta right and perfect site, yaani usikurupuke kabisa... Ni sawa na kutafuta mke coz huko ndiyo utamalizia maisha yako, hasa kwa sisi walio wengi wasio na uwezo wa kujenga majumba mengi.
Dada yangu kajenga huko huko mitaa ya baobab sec school, ndani ndani ni anajutraa balaa, nae kapakimbia!
 
Let's assume hypothetically wafanyakazi woote wa Dar wawe wanaishi jirani na makazini kwao, in this case Posta... Nini kitatokea??
 
Maamuzi magumu kama haya unayoshauri yanataka ujasiri na roho ngumu, hasa kwa vijana wa kizazi kipya....
 
Hakuna kitu muhimu kama kutafuta right and perfect site, yaani usikurupuke kabisa... Ni sawa na kutafuta mke coz huko ndiyo utamalizia maisha yako, hasa kwa sisi walio wengi wasio na uwezo wa kujenga majumba mengi.
Kerege kesho kutwa tu panakuwa town, hajakosea sana
 
Kuna biashara mtu mzima ukizifanya hutoboi kama hiyo ya turnout 200k kwa mwezi siwezi kuigusa
Huku JF kila MTU ni tajiri sana...yaani 200k kwa mwezi ni umaskini?yaani ukweli ulivyo hiyo ni hela ndefu sana na kwa taarifa yako ni wachache mno hapa JF wanayoifikia hiyo pesa kwa mweziii ....
 
Huku JF kila MTU ni tajiri sana...yaani 200k kwa mwezi ni umaskini?yaani ukweli ulivyo hiyo ni hela ndefu sana na kwa taarifa yako ni wachache mno hapa JF wanayoifikia hiyo pesa kwa mweziii ....


Kabisa mkuu!
 
Huku JF kila MTU ni tajiri sana...yaani 200k kwa mwezi ni umaskini?yaani ukweli ulivyo hiyo ni hela ndefu sana na kwa taarifa yako ni wachache mno hapa JF wanayoifikia hiyo pesa kwa mweziii ....
Wachache mno?! Umefanya sensa ukajua vipato vya wana JF hadi ukafikia hitimisho hilo?
 
Duh hongera Mkuu, sahiv una miaka Mingap kiongozi? Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…