Aisee kwahio mama yako kazaliwa 70s? Kwahio wewe ni mtoto wa 90s. Haya niamkie Baba yakoDah ulinunua Kiwanja kimara mwaka 1969? Huo mwaka hata mama angu hajazaliwa, aisee humu ndani nitaanza kuheshimu watu maana unaweza kumjibu mtu utumbo kumbe hata mzazi wako hamfikii
Dada yangu kajenga huko huko mitaa ya baobab sec school, ndani ndani ni anajutraa balaa, nae kapakimbia!
Wewe unaweza kumzaa kijana wa 90s?Aisee kwahio mama yako kazaliwa 70s? Kwahio wewe ni mtoto wa 90s. Haya niamkie Baba yako
Kwa Dar kwa mfanyakazi wa kawaida kutaka ujenge nyumba kiwanja utapata kilomita 40 au zaidi nje ya mji ujenge.
Mbaya zaidi ofisi nyingi ziko posta hivyo itakulazimu uwe unaamka sa 9 ili kufika ofisini sa 2, na kurudi nyumbani ukitoka sa 11 unafika sa 3. Hii sababu ni moja tu ya miundombinu mibovu kwa hapa Dar es salaam, barabara ya kuja na kutoka mjini ni zile zile hakuna njia mbadala na kama zipo ni za hovyo sana.
Mimi Dar siwezi kujenga, ni hasara tupu, ggharama za usafiri kutoka kwako hadi kazini ni zaidi ya 200,000 kwa mwezi, hujaja chakula, uusumbufu mwingine alafu niwe najisifu tu eti kisa nakaa kwangu.
Nenda kinyerezi, mbezi makabe, goba, mabwepande na kwenda huko Mapinga, mbweni, kitopeni, nk watu wametelekeza nyumba nzuri kule kwa sababu ya adha ya usafiri.
Bora upange jirani na mjini uishi kwa raha kuliko kua na kwako huku unaishi kwa shida kisa unaishi kwako. Kuna mshikaji wangu kajenga huko kimara porini imebidi akimbie nyumba, akapange apartment kariakoo.
Mimi nimepanga jirani tu na kazini kwangu, kilomita 8, hata sa 1:30 natoka kwangu na nafika kazini kabla ya ya 2:00 na maisha ni matamu sana.
Maisha ni hesabu, ukifanya miscalculation maisha yako yatakua magumu sana.
Mkuu uza hiyo gari tafuta Toyota hiace ya 15milion, Asubuhi unapokuja mjini beba abiria, unaporudi kerege pia beba abiria. weekend aamka asubuhi piga trip kazaa tegeta bagamoyo.. Hapo utakuwa umejiongezea kipato lakini pia utakuwa umepata hela ya mfuta kila siku ya kuendea kazini..
[emoji28][emoji28][emoji28]mie ndo mlemavu zaidi aisee.katika vitu nikivyoshidnwa ni kutembea kwa miguu...!kabaya mno!
Hapana...sio kbs!Utakuwa chibooongee wewe... [emoji23] [emoji23]
Kerege kesho kutwa tu panakuwa town, hajakosea sanaHakuna kitu muhimu kama kutafuta right and perfect site, yaani usikurupuke kabisa... Ni sawa na kutafuta mke coz huko ndiyo utamalizia maisha yako, hasa kwa sisi walio wengi wasio na uwezo wa kujenga majumba mengi.
YeahWewe unaweza kumzaa kijana wa 90s?
Huku JF kila MTU ni tajiri sana...yaani 200k kwa mwezi ni umaskini?yaani ukweli ulivyo hiyo ni hela ndefu sana na kwa taarifa yako ni wachache mno hapa JF wanayoifikia hiyo pesa kwa mweziii ....Kuna biashara mtu mzima ukizifanya hutoboi kama hiyo ya turnout 200k kwa mwezi siwezi kuigusa
Huku JF kila MTU ni tajiri sana...yaani 200k kwa mwezi ni umaskini?yaani ukweli ulivyo hiyo ni hela ndefu sana na kwa taarifa yako ni wachache mno hapa JF wanayoifikia hiyo pesa kwa mweziii ....
Muongo wewe.Yeah
Wachache mno?! Umefanya sensa ukajua vipato vya wana JF hadi ukafikia hitimisho hilo?Huku JF kila MTU ni tajiri sana...yaani 200k kwa mwezi ni umaskini?yaani ukweli ulivyo hiyo ni hela ndefu sana na kwa taarifa yako ni wachache mno hapa JF wanayoifikia hiyo pesa kwa mweziii ....
Sawa1990-29
1991-28
1992-27
1993-26
Huna uwezo wakunizaa.
MmmhYeah
Vipi tenaMmmh
Usemayo ya kweli pacha?Vipi tena
YeahUsemayo ya kweli pacha?
Duh hongera Mkuu, sahiv una miaka Mingap kiongozi? AsanteMkuu vumilia zamani hata Kimara palikuwa shamba na mbali na mji.Tulikuwa tunapishana na viboko na nguruwe.
Usiuze hiyo nyumba utajuta baadae cha kufanya tafuta chumba panga karibu na kazini kwako.Hiyo nyumba ya Kerege tafuta mwenyeji mswahili wa huko muache akae hata bure akulindie mji.
Mimi sijuti kununua viwanja Kimara mwaka 1969 sasa hivi mimi ni kamfalme kadogo
Maendeleo ya majengo na miundo mbinu yanamfuata mtu sio kinyume chake