Najuta kuhamia kwangu Kerege

Watu wengi hawana maarifa yakutosha na mikoani, ukiwa na hela yako nzuri Kwenye real estate ni vizuri kuwekeza huko. Mimi binafsi naona kuwa dar imejaa huwezi pata eneo la maana kwa bei nafuu
 
Daah ulinunua Bei Che Sana Sasa hivi mil 9 hupati kiwanja pale...[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Enzi za mkwere aka vasco da gama ilikuwa nzuri kwa mafisadi. Hivyo, sioni cha kujutia zaidi ya kupoteza fursa za kupiga walalahoi.
 
Mkuu nunua pikipiki, utapunguza gharama za usafiri kwa kiwango kikubwa sana.
 

Kongole sana Mkuu. Umetoa bonge moja la pointi. Mungu akubariki sana.
 
Na ataongeza speed ya safari ya kumrudia muumba wake!

Awe makini tu barabarani kwani uhai na umauti upo mikononi ndiye anayeamua nani afe na nani aishi. Kwahiyo kutumia pikipiki siyo paspoti ya kifo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…