Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

Aisee, ila laki mbili kwa siku iliwapelekesha sana wana JF ....hahaa
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.

Baada ya takribani miaka minne tuambia Karega bado ni pori unajutia kuhamia, viwanja bado vip kwa bei chee?
 
Back
Top Bottom