Mkuu bado unajuta kuhamia kwako Kerege?
😅Kwa mafuriko ya juzi, mara daraja limekatika. Huko sio sehemu ya kukaa kabisaa
Kutokana na maelezo yabuzi wake, kapigika huyu, aliiba sana wkt wa JK so upepo uliyumba.Kerege mbona ni mjini kabisa
Watu wanakaa mbele ya Msata na wanafanya kazi Dar kama kawaida