Kwani kusubiri maana yake ni kumngoja mtu?Unaposema nunua kisha usubiri, unakuwa unamsubiria nani au unasubiri nini?!
Maisha yako binafsi, lakini unawasubiri wengine?!
Hao unao wasubiria wakifika mnaishi nao kwenye nyumba zao, mnakula pamoja au mnafanya kazi pamoja?!
Sijaelewa unakuwa unamgonja nani na ili iweje?
Nilidhani peke yangu[emoji16][emoji16]Haka kaulemavu kabaya sana hata ukikaza siku mbili ukapanda daladala lazima urudi kwenye gari yako hata kwa mkopo wa mafuta
manengelo si mwanafunzi lakini! Nadhani ongeza aggrandizer maana mtu anayepata 200,000 ya uhakika kwa siku ni Prof au waziri etcNimegundua wengi waliomshaul ni wanafunzi wa chuo wanaopenda maisha ya kwenye video, dume zima ukaona kerege mbali na watu wanakaa moro wanafanya kazi dar nimewazalau kwelikweli
Kweli aseeinagharimu usafiri, bora pangeunganishwa na dar ili nauli ziwe za daladala tu
Haaahaaa...gari lina ulemavu mbaya asikwambie mtu[emoji28][emoji28][emoji28]mie ndo mlemavu zaidi aisee.katika vitu nikivyoshidnwa ni kutembea kwa miguu...!kabaya mno!
Unapumzika lini sasa, ikiwa hata siku za mapunziko unafanya kazi ya kubeba abiria?!Mkuu uza hiyo gari tafuta Toyota hiace ya 15milion, Asubuhi unapokuja mjini beba abiria, unaporudi kerege pia beba abiria. weekend aamka asubuhi piga trip kazaa tegeta bagamoyo.. Hapo utakuwa umejiongezea kipato lakini pia utakuwa umepata hela ya mfuta kila siku ya kuendea kazini..
Karibia 8kms kutoka lami - Bagamoyo Rd.
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Anataka kupandisha presha na maneno ya kutype[emoji16][emoji16]acha kuchukulia serious sana jf utaugua vidonda vya tumbo.[emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna watu hawafikirii wear and tear za gari na gharama za matengenezo,Kupakia watu saba kila siku kwenda na kuridi ni kuchosha gari tu for nothing
Ameona 14 perday ni ela..wakati hapo wakikaa watu nyomi hivyo lazima gari lichafuke..so kuna kuosha gari ambapo kwa bei ya chini unaweza osha kwa 5000 hadi 10000, kuna hizo shockups, kuna kuibiwa n.k.Kuna watu hawafikirii wear and tear za gari na gharama za matengenezo,
acha usiwafuate waswahili wanaopenda Mjini.
Hapo Kerege patajakuwa Mjini kati kabisa, mwaka 1979 Sinza Makaburini ndio palikuwa mwisho wa Mji wa DSM linafuata pori hadi UDSM
Leo Kibaha ni Mjini kabisa ngoja hiyo njia 6 ya Highway km hukona mwendo kasi halishii Kimara
Ardhi ni mali huwezi linganisha Ardhi yenye ukubwa sawa kwa Miji ya Tanga, Dodoma au Mwanza
Tafuta wenyeji, Mkiti au Mjumbe wakutafutie wapangaji hiyo ni Rasilimali kubwa kuliko kupanga km Mhindi Mjini, Shika ardhi popote km Elimu kwani ni utajiri kuliko hao wezi wa leo tu
Mkuu unataka Mungu akupe nin? Acha kufuru.Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Dada mwenyewe anayesema anapata zaidi ya 200k kwa siku anaishi Kahama, sasa huko kuna biashara gani ya 200k na muda wa kushinda jf
Itabidi akulipe kwa ushauri wakoUza Gari nunua Bajaji wakati wa kuja kazini unabeba abiria na wakati wa kurudi.Week end unafanya biashara na kupeleka watu Kanisani.Huko ujafuga ndege kama kuku n.k?
Kweli kila mtu anawaza ajuavyo yeye...yaan nipewe laki 2 kwa mwezi??hapana...!ila kuna biashara kichaa sana...labda ujenge nyumba ukopee mkopo mzuri benk...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
Kwa gharama unaweza kuwa sahihi. Ila socially akiwa Sinza atapata muda wa kuona hata familia. Huko Kerege ndio unaamka SAA 10 watoto wamelala, unarudi SAA 4 watoto wamelalaUnajua kuna wakati mtu unaweza kudhani unaokoa gharama kumbe hamna lolote
Sinza kodi unasema unalipia 400,000
kerege usafiri mafuta inazidi 400 tufanye mafuta unatumia ya 500k
ina maana ukitoa 500k mafuta - 400k kodi sinza unapata 100k ambayo hii 100k kwako ndio unaiona kama hasara
Ok tuseme umerudi sinza Kodi utalipa 400k then kazini bado utatumia gari ambapo kwa mwezi utatumia mafuta ya 50k
Jumla ukirudi sinza kwa mwezi utatumia 450k ila kerege ulikua unatumia 500k (umeokoa 50k)
sasa hii 50k kweli ikutoe kwako uone kama adhabu? mimi nadhani hamna unachokikimbia
Baki kerege kwako Pambana nyumba yako uweke ukuta maisha yako yaendeleeee
Siku ukikosa hela ya mafuta una uwezo wa kupanda dala dala ukaenda kazini
ukiwa sinza siku ukikosa KODI huna lugha utayomuelezea mwenye nyumba akakuelewa
Tulie zako Kerege unapaona kama Pagumu ni kwa sababu ni mwanzo tu mkuu ila amini usiamini Kerege ndio OPTION
Huko kwenye majumba ya kupanga trust me utakonda mkuuu,kapumzike zako kerege
Hao vibaka wanakutisha tu siku moja we tengeneza hata baruti ukiwaona Piga chini usku Watajua una CHUMA
hawatorudia hata kupita hapo nnje kwako mchana nakwambia,wanakuja kuja sababu wanakuona mgeni nakwambia
ila usiwaogope pambana nao.
SIKUSHAURI URUDI SINZA maana hamna unachokikimbia.
Service siyo issue mkuu, tena huwa na bajeti yake pembeni! Kinachotafutwa ni ile ahueni ya gharama za mafuta za kila siku za kwenda na kurudi kwenye mihangaiko!Service ya gari si unaijua mzee..hiyo 14 haitaweza kuservice gari..otherwise labda kama umeamua tu kuwasaidia watu