nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Sawa lakini kerege kwenda posta ni karibu kilomet 40 au 50 sasa unafanya kazi Posta kwenda nakurudi km 70 au 80 bora hiyo dodoma km 18 tu na foleni hakuna
nilidhani unasema Milioni 13 kumbe milioni 1
Dodoma huku unapata eka moja porini kilomita 18 kutoka mjini kwa 1,3M, kiwanja kinafika 20m maeneo ya kujenga, ambayo joshua_ok anafananisha na KEREGE
mm nitafutieni kiwanja aua shamba iwe Kibaha, Chanika au Bunju najua barabara zipo