Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

Kweli kila mtu anawaza ajuavyo yeye...yaan nipewe laki 2 kwa mwezi??hapana...!ila kuna biashara kichaa sana...labda ujenge nyumba ukopee mkopo mzuri benk...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
Manengelo upo 'matawi' waallah!

Kipato cha laki2 kwa siku, wewe siyo wa sport sport.

Maana yake ni kwamba pensheni ya mtu aliyesoteshwa kazini miaka 30+, wewe unabeba kwa mwezi mmoja!

Sijizuii kukupa hongera, upo vizuri.
 
Labda sikueleweka..ishu hapa sio jirani akiniona nimeshika chuma la eicher atasemaje .ishu ni yale mazoea mzee baba!hapa hakuna cha elimu ya kujitmbua wala nn...!kuna kaulemavu kapo sana ukizoea kutembelea gari!wenyewe wanakajua!
Hili linaeleweka mbona?

Hata mimi enzi nanunua mchuma, nilijisemea uongo nikijidanganya mwenyewe kuwa 'huu usafiri nitatoka nao kwa dharula tu, mizunguko mingine nitaimaliza kwa boda2'!

Dah, ebanaeeh yaani ni maradhi kama siyo ulemavu.
 
Leo hii utaona ni mbali huko na ni kero may be mko wachache hilo eneo ila baada ya miaka mitano utakuja jipongeza! Population yetu inakuwa kwa kasi sana hata usipofaidika ww basi wanao watafaidika.
 
Manengelo upo 'matawi' waallah!

Kipato cha laki2 kwa siku, wewe siyo wa sport sport.

Maana yake ni kwamba pensheni ya mtu aliyesoteshwa kazini miaka 30+, wewe unabeba kwa mwezi mmoja!

Sijizuii kukupa hongera, upo vizuri.


Unashangaa biashara za laki 2/kwasiku kaka??humu kuna jamaa alinifata pm akashangaa mnabisha..yy iwe isiwe anaingiza 1m!haya tumjadilini huyu sasa!tuiache hii laki2!
 
Mkuu vumilia zamani hata Kimara palikuwa shamba na mbali na mji.Tulikuwa tunapishana na viboko na nguruwe.
Usiuze hiyo nyumba utajuta baadae cha kufanya tafuta chumba panga karibu na kazini kwako.Hiyo nyumba ya Kerege tafuta mwenyeji mswahili wa huko muache akae hata bure akulindie mji.
Mimi sijuti kununua viwanja Kimara mwaka 1969 sasa hivi mimi ni kamfalme kadogo
Maendeleo ya majengo na miundo mbinu yanamfuata mtu sio kinyume chake
 
Unashangaa biashara za laki 2/kwasiku kaka??humu kuna jamaa alinifata pm akashangaa mnabisha..yy iwe isiwe anaingiza 1m!haya tumjadilini huyu sasa!tuiache hii laki2!
Sikushangaa , nilisifia kwamba upo position bora.
Maana mzunguko wa pesa sasa hivi ulivyobadilika, laki mbili kama mapato ya faida, ni biashara kubwa sana na ni biashara nzuri.
 
Mkuu vumilia zamani hata Kimara palikuwa shamba na mbali na mji.Tulikuwa tunapishana na viboko na nguruwe.
Usiuze hiyo nyumba utajuta baadae cha kufanya tafuta chumba panga karibu na kazini kwako.Hiyo nyumba ya Kerege tafuta mwenyeji mswahili wa huko muache akae hata bure akulindie mji.
Mimi sijuti kununua viwanja Kimara mwaka 1969 sasa hivi mimi ni kamfalme kadogo
Maendeleo ya majengo na miundo mbinu yanamfuata mtu sio kinyume chake
Dah ulinunua Kiwanja kimara mwaka 1969? Huo mwaka hata mama angu hajazaliwa, aisee humu ndani nitaanza kuheshimu watu maana unaweza kumjibu mtu utumbo kumbe hata mzazi wako hamfikii
 
Back
Top Bottom