Unaelewa hata unachoandika ? Kawakwaza kwa lipi au kwa sababu walimkuta ndani ya ardhi ya Israel ?......Udini tu umekujaaUkiangalia hizo video ni dhahiri ipo namna aliwakwaza hao jamaa, huyo anayemuuliza swali sijui ni kumfokea, huyo sio chizi kwamba amfokee au kumuuliza maswali mwanafunzi asiyejua kitu, mtu mweusi kutoka Afrika, tena Tanzania. Sio rahisi
Sikuiona mkuu lete clip.....Udini upi nimetaja dini? Ile rocket waliodai ililipua hospital hukuona !?
Una hakika ngapi na maelezo hayaendaniView attachment 2845984
Ni unyama ulio pitiliza ametendewa mdogo etu mollel....Mzuka wanajamvi.
Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.
Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.
Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.
Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.
Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.
R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.
Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Kwahiyo ni sawa kwa hao waarabu kumuua dogo molleli kisa mkirsto na muafrika??????Umesema yote Mkuu.
Wengi wa sisi watanzania hawapendi kutumia akili zao kuchambua mambo. Wanaendeshwa na hisia au mihemko.
Kuna uwezekano huyu ndugu yetu alikuwa kizuizi kwao hivuo ni lazima wangemuondoa tu. Sasa tujiulize amewazui nini hao jamaa?, na kwanini?.
Nikimuangalia ni Mmaasai na kuna hii kasumba ya watanzania baadhi hasa wa ukanda wa kaskazini kujiita wayahudi weusi au wayahudi waliopotea na kujinasabaisha na israeli, sio ajabu na huyu alikuwa huko. (Sijasema nimewaza)
Bado kuna hawa watanzania watu wa dini wao ni kuvaa nguo zenye bendera ya israeli, mara waweke kwenye magari kama sticker au vitambaa hadi makanisani inapeperushwa bendera ya taifa lingine bila utaratibu. Hawa nao wakija kupigwa bomu wataanza kulalamika hovyo. Huwenda na huyu alikuwa na vazi au sticker ya hivyo kwa misingi ya kiimani (Sijasema nimewaza)
Mambo ni mengi sana hasa ukizingatia aliyetangazwa kuuawa kipindi chake hichi alikuwa askari wa Israeli, kazi maalumu. Labda na yeye pia who knows! kwani si tumeona watanzania wa huko Urusi kilichotokea.
Tukitumia akili hili jambo sio dogo hata kidogo.
Ukiangalia hizo video ni dhahiri ipo namna aliwakwaza hao jamaa, huyo anayemuuliza swali sijui ni kumfokea, huyo sio chizi kwamba amfokee au kumuuliza maswali mwanafunzi asiyejua kitu, mtu mweusi kutoka Afrika, tena Tanzania. Sio rahisi
Watu wakiwa kwenye kazi zao usijihusishe nao. Utajiponza.
Waarabu wanabidhaa gani zaidi hizi?Mzuka wanajamvi.
Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.
Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.
Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.
Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.
Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.
R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.
Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Hamas ni wapalestina na kiko Gaza.ameuliwa na HAMAS makasiriko unaleta kwa wapalestina wote
Foolish
TATIZO LA WAISLAMU NA MAARABU NI CHUKI ZA KIDINI NA UNAFIKI....WA HISTORIA YA WAYAHUDIHistoria inatueleza kuwa mtu aliyewaua mayahudi kwa mamilioni ni Hitler na dini yake alikuwa mkristo na si waarabu.
Udini upi huo mkuu unaouongelea umenijaa?, wewe unaifahamu dini yangu? Au kuwaambia ukweli ndio udini? tumia akili achana na kutumia mihemko.Unaelewa hata unachoandika ? Kawakwaza kwa lipi au kwa sababu walimkuta ndani ya ardhi ya Israel ?......Udini tu umekujaa
wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.Kwahiyo ni sawa kwa hao waarabu kumuua dogo molleli kisa mkirsto na muafrika??????
Aliwakwaza kwa lipi ebu fafanua?????
NB:NA WALE WANAOTEMBEA NA BENDERA ZA ISRAEL ULITAKA WATEMBEE NA BENDERA ZA SAUDIA AU IRAN AU TALBAN???
Kwahiyo ni sawa dogo kuuawa na unafurahia sababu sio muarabu na muislamu??????wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.
Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.
Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.
Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.
NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.
Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.
Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
Ulitaka waweke bendera za Saudia na palestina????wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.
Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.
Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.
Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.
NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.
Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.
Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
KWAHIYO DOGO ALIPOWAKWAZA NDIO WAMEPATA HAKI YA KUMUUA??wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.
Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.
Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.
Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.
NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.
Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.
Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
Wapi nimesema hayo maneno mbona wewe jamaa unakuwa mpumbavu?.Kwahiyo ni sawa dogo kuuawa na unafurahia sababu sio muarabu na muislamu??????
Duuuuh....
Ila wakifa waarabu unalalamika??
Mkuu nimefunga mjadala na wewe, siwezi poteza muda wangu kwenye akili kisoda.Ulitaka waweke bendera za Saudia na palestina????
Duuuh udini mzigo...
Hata mm siwezi kubishana na wauslam na waarabu......lugha pekee wanayoielewa ni mtutu wa bunduki....Mkuu nimefunga mjadala na wewe, siwezi poteza muda wangu kwenye akili kisoda.
WEWE ULITAKA KWENYE MABASI WAWEKE BENDERA ZA PALESTINA EEEH???Mkuu nimefunga mjadala na wewe, siwezi poteza muda wangu kwenye akili kisoda.
Ukiwa nchi kama Denmark hasa Copenhagen waweza kumkwepa. Ila sio unaishi mwananyamala useme umkwepeAnakwepeka tu vizuri.
R.I.P wewe kwanza..Sio palesina ni PALESTINA.chuki hazijawahi kua suluhu.r.i.p.
Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
Diplomasia haiendeshwi kimuhemko bro.Israel wenyewe juzi tu wameuwa raia wao kimakosa na wametangaza hadharani tatizo wanaua watu hovyo wanaohusika na wasio husika.Kuna raia wengi tu wa mataifa mengine wameuawa na Israel na wamepiga kimya.Samia dhaifu sana, alipaswa kumpa balozi 72hrs aondoke nchini