Najuta kuingalia video ya Joshua

Najuta kuingalia video ya Joshua

Ukiangalia hizo video ni dhahiri ipo namna aliwakwaza hao jamaa, huyo anayemuuliza swali sijui ni kumfokea, huyo sio chizi kwamba amfokee au kumuuliza maswali mwanafunzi asiyejua kitu, mtu mweusi kutoka Afrika, tena Tanzania. Sio rahisi
Unaelewa hata unachoandika ? Kawakwaza kwa lipi au kwa sababu walimkuta ndani ya ardhi ya Israel ?......Udini tu umekujaa
 
Udini upi nimetaja dini? Ile rocket waliodai ililipua hospital hukuona !?

Una hakika ngapi na maelezo hayaendaniView attachment 2845984
Sikuiona mkuu lete clip.....
Na hii video nipe maelezo,,,mbona naona kama wahamiaji haramu wa kihabeshi wanaozamia jangwa la Negev??????
NB: NA YOTE HAIHALALISHI DOGO MOLLEL KUUAWA SABABU TU SIO MUISLAM NA MWARABU.......
 
Mzuka wanajamvi.

Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.

Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.

Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.

Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.

Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.

R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.

Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Ni unyama ulio pitiliza ametendewa mdogo etu mollel....
 
Umesema yote Mkuu.
Wengi wa sisi watanzania hawapendi kutumia akili zao kuchambua mambo. Wanaendeshwa na hisia au mihemko.

Kuna uwezekano huyu ndugu yetu alikuwa kizuizi kwao hivuo ni lazima wangemuondoa tu. Sasa tujiulize amewazui nini hao jamaa?, na kwanini?.

Nikimuangalia ni Mmaasai na kuna hii kasumba ya watanzania baadhi hasa wa ukanda wa kaskazini kujiita wayahudi weusi au wayahudi waliopotea na kujinasabaisha na israeli, sio ajabu na huyu alikuwa huko. (Sijasema nimewaza)

Bado kuna hawa watanzania watu wa dini wao ni kuvaa nguo zenye bendera ya israeli, mara waweke kwenye magari kama sticker au vitambaa hadi makanisani inapeperushwa bendera ya taifa lingine bila utaratibu. Hawa nao wakija kupigwa bomu wataanza kulalamika hovyo. Huwenda na huyu alikuwa na vazi au sticker ya hivyo kwa misingi ya kiimani (Sijasema nimewaza)

Mambo ni mengi sana hasa ukizingatia aliyetangazwa kuuawa kipindi chake hichi alikuwa askari wa Israeli, kazi maalumu. Labda na yeye pia who knows! kwani si tumeona watanzania wa huko Urusi kilichotokea.

Tukitumia akili hili jambo sio dogo hata kidogo.

Ukiangalia hizo video ni dhahiri ipo namna aliwakwaza hao jamaa, huyo anayemuuliza swali sijui ni kumfokea, huyo sio chizi kwamba amfokee au kumuuliza maswali mwanafunzi asiyejua kitu, mtu mweusi kutoka Afrika, tena Tanzania. Sio rahisi

Watu wakiwa kwenye kazi zao usijihusishe nao. Utajiponza.
Kwahiyo ni sawa kwa hao waarabu kumuua dogo molleli kisa mkirsto na muafrika??????
Aliwakwaza kwa lipi ebu fafanua?????
NB:NA WALE WANAOTEMBEA NA BENDERA ZA ISRAEL ULITAKA WATEMBEE NA BENDERA ZA SAUDIA AU IRAN AU TALBAN???
 
Mzuka wanajamvi.

Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.

Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.

Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.

Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.

Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.

R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.

Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Waarabu wanabidhaa gani zaidi hizi?
1. Quran
2. Kanzu
3. Mkojo wa ngamia
4. Maji ya zamzam
Usiumize kichwa ndugu kuhusu waarabu.
 
ameuliwa na HAMAS makasiriko unaleta kwa wapalestina wote

Foolish
Hamas ni wapalestina na kiko Gaza.
Haya mauaji yote yaliungwa mkono na wapalestina ndiyo maana Gaza yote kuna mahandaki na mashimo ya kujificha kwa Hamas kwahiyo ni kitu kimoja.
Uislamu ni ugaidi, wanaua watu wanashangilia kwa kuimba Allah Akbar
 
Historia inatueleza kuwa mtu aliyewaua mayahudi kwa mamilioni ni Hitler na dini yake alikuwa mkristo na si waarabu.
TATIZO LA WAISLAMU NA MAARABU NI CHUKI ZA KIDINI NA UNAFIKI....WA HISTORIA YA WAYAHUDI
WARUMI WALIWAUA WAYAHUDI
WAHISPANIA WALIWAUA WAYAHUDI.
WAARABU WA GRENADA WALIWAUA WAYAHUDI.
WAARABU WA SAUDIA NA MISRI NA YEMENI NA MOROCCO NA TUNISIA NA ALGERIA NA SUDAN NA JORDAN NA SYRIA WALIWAUA MAELFU YA WAYAHUDI ENZI ZA MAKHALIFA WA KIISLAMU....
WEWE UMEONA HITLER TU???.
NB: NA WAPI HITLER ALISEMA YEYE MKRISTO?????
AU UNADHANI KILA MZUNGU WA ALLIEN RACE MKRISTO???
 
Unaelewa hata unachoandika ? Kawakwaza kwa lipi au kwa sababu walimkuta ndani ya ardhi ya Israel ?......Udini tu umekujaa
Udini upi huo mkuu unaouongelea umenijaa?, wewe unaifahamu dini yangu? Au kuwaambia ukweli ndio udini? tumia akili achana na kutumia mihemko.

Lazima watu wajue kuna mahali haupaswi kuwepo na ukiwepo utapatwa na majanga.
 
Kwahiyo ni sawa kwa hao waarabu kumuua dogo molleli kisa mkirsto na muafrika??????
Aliwakwaza kwa lipi ebu fafanua?????
NB:NA WALE WANAOTEMBEA NA BENDERA ZA ISRAEL ULITAKA WATEMBEE NA BENDERA ZA SAUDIA AU IRAN AU TALBAN???
wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.

Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.

Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.

Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.

NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.

Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.

Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
 
wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.

Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.

Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.

Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.

NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.

Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.

Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
Kwahiyo ni sawa dogo kuuawa na unafurahia sababu sio muarabu na muislamu??????
Duuuuh....
Ila wakifa waarabu unalalamika??
 
wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.

Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.

Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.

Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.

NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.

Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.

Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
Ulitaka waweke bendera za Saudia na palestina????
Duuuh udini mzigo...
 
wapi nimesema kauliwa sababu ni mkristo? Au nioneshe ni wapi nimesema kauliwa kwa sababu gani.

Hakuna kitu hatari kama kujifungamanisha na makundi au mataifa yenye migogoro kwenye hii dunia.

Hichi ni kitu ambacho lazima watanzania waelezwe na wakifahamu. Tumejisahau sana tunaona huko dunia ni kama Tanzania. Matokeo yake tunaangukia kwenye matatizo makubwa sana.

Unakuta gari tena basi la abiria 50+ lina sticker za bendera ya Israeli, likipigwa bomu watu waanze kulaani bila kujua chanzo ni nini.

NB: Tuachane na habari za kujionesha kuwa tumehuzunishwa sana na solution ni kulalamika. Bali tukae chini tufuatilie na kutafakari, ilikuwaje huyu ndugu yetu katendwa hivi, hii itasaidia tujue na wengine waliopo huko na maeneo mengine duniani waishi vipi.

Watu wenye akili hawaangalii matokeo wakaridhika, wanaangali chanzo cha hayo matokeo ili kama ni yakuzuia ifahamike tuzuie wapi na kama ni yakuendeleza ifahamike tuendeleze wapi.

Watanzania tunapenda sana mambo ya hewana na hisani wakati dunia hii haina huruma.
KWAHIYO DOGO ALIPOWAKWAZA NDIO WAMEPATA HAKI YA KUMUUA??
 
Kwahiyo ni sawa dogo kuuawa na unafurahia sababu sio muarabu na muislamu??????
Duuuuh....
Ila wakifa waarabu unalalamika??
Wapi nimesema hayo maneno mbona wewe jamaa unakuwa mpumbavu?.

Onesha wapi nimewahi kulalamika waarabu kuuwawa au kufurahia tukio la huyu ndugu yetu kuuawa?.

Usitoe mawazo yako kupitia mimi Mkuu. Kuwa mtu mzima jadili kwa hoja huwezi tuachane na hii habari Mkuu.
 
Samia dhaifu sana, alipaswa kumpa balozi 72hrs aondoke nchini
Diplomasia haiendeshwi kimuhemko bro.Israel wenyewe juzi tu wameuwa raia wao kimakosa na wametangaza hadharani tatizo wanaua watu hovyo wanaohusika na wasio husika.Kuna raia wengi tu wa mataifa mengine wameuawa na Israel na wamepiga kimya.
 
Back
Top Bottom