Najuta kuingalia video ya Joshua

Najuta kuingalia video ya Joshua

Kama magaidi Hamas wanapigana kwa kujificha nyuma ya raia unategemea nini mkuu? Si ndio hao wamechimba mahandaki kwenye hospital na shule?

Si ndio magaidi huwatumia raia kama ngao?
Umekua braiwashed coz ya uwezo wako mdogo wa uelewa na ufuatiliaji wa mambo,Mpaka leo wayahudi wameshindwa kuthibitisha hayo mahandaki hapo Shifa Hospital,tena clip yao ya hiyo propaganda waliipost kwenye page yao ya Wizara ya ulinzi ila baada ya kushtukiwa na Dunia nzima ikabidi waidelete,

Uwe unafuatilia vitu kwanza,Magaidi ni hao unaowashobokea wanaoua Wanawake na watoto na kupiga Hospitali,Shule na Refugees Camp.
 
Umekua braiwashed coz ya uwezo wako mdogo wa uelewa na ufuatiliaji wa mambo,Mpaka leo wayahudi wameshindwa kuthibitisha hayo mahandaki hapo Shifa Hospital,tena clip yao ya hiyo propaganda waliipost kwenye page yao ya Wizara ya ulinzi ila baada ya kushtukiwa na Dunia nzima ikabidi waidelete,

Uwe unafuatilia vitu kwanza,Magaidi ni hao unaowashobokea wanaoua Wanawake na watoto na kupiga Hospitali,Shule na Refugees Camp.
Ila wewe hujawa 'brainwashed' kutokana na uwezo wako mdogo wa uelewa na ufuatiliaji wa mambo, magaidi Hamas wameweza kukuthibitishia kuwa Israel inaua wanawake na watoto?
 
Ila wewe hujawa 'brainwashed' kutokana na uwezo wako mdogo wa uelewa na ufuatiliaji wa mambo, magaidi Hamas wameweza kukuthibitishia kuwa Israel inaua wanawake na watoto?
Wewe akili ndogo kaa pembeni huna la maana,naona umejipanga kubishana,Dunia nzima inalalamika hao waume zako wanaua watoto,mpaka katibu mkuu wa UN amesema,kaa pembeni huna akili wewe punguani.
 
Najua jinsi ya kwenda na nyie mnaounga mkono magaidi mkuu, pole!
Ndio unajiongopea na kujiona mwenyewe hapo unajiona umeuliza maswali ya maana? Kumbe umeonyesha tu jinsi huna uelewa na mambo,unauliza viswali vya darasa la pili unajiona umepiga maswali ya maana sio? Wewe unayeunga mkono hao mashoga ndio ujipe pole.
 

Attachments

  • Screenshot_20231208-110313_Gallery.jpg
    Screenshot_20231208-110313_Gallery.jpg
    127.8 KB · Views: 1
TUMIA AKILI

Sio kila mada/topic/jambo unaloliona kwa macho yako ndivyo lilivyo, kiuhalisia linaweza kuwa tofauti kabisa.

Kuna matukio unapoyaona hutakiwi kutanguliza hisia kuya judge, bali akili tu, unapotumia hisia&mihemko unaharibu sehemu ya akili kulitafakali hilo jambo.

The same kwa Tukio hili waTanzania tulitakiwa kutumia akili na sio hisia ili tujue ukweli na undani wa hilo tukio ka kifo.

Dunia ya leo mambo hayatokei kwa bahati mbaya, kuna matukio yanapikwa then yanaachiliwa wazi na kila mtu atatafsiri matukio hayo kulingana na uwezo wa akili yake kuchanganua mambo.

Kuna watakao tumia hisia ambao kwa ulimwengu wa sasa hawa ndio main Target ya mpika matukio maana hawa kwa population ni more than 90% ya watu na hawa ndio wale wasio chambua mambo wala kuyatafakali zaidi ya kuendeshwa na mihemko na hisia kali zinazozalishwa baada ya kuliona tukio ambalo mpikaji alipenda liwe hivyo na lilete matokeo gan kwa jamii baada ya kuona hilo tukio.

Kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao hayo matukio yanayoibuka dunian hata yapikwe vipi hayawaendeshi kutumia hisia&mihemko maana wanajua michezo yote ya wajanja.

Anaecontrol media ndiye anaecontrol mienendo mizima ya matukio iwe vipi, na kuteka attention ya watu kiasi gani wakubaliane na ujumbe wa tukio.

Back to topic, kwa anaetumia akili tu na sio mwenye mihemko, ukiitizama hiyo video inaleta maswali mengi na kuibua viulizo kuhusu undani wa kinacholazimishwa kuaminisha watu waamini ndivyo au sio.

[emoji117] labda kinyonga aliponzwa na rangi yake ndipo balaa likampata(kijana huyo huenda hakuwa na tatizo lolote na hao wanaosemekana ni Hamas lkn kwakuwa tu ni mweusi, kama ijulikanavyo watu weusi hawapendwi dunian, hivyo rangi yakeikamponza.

[emoji117] labda nguo yake ya ndani aliyovaa(boksa) yenye rangi ya kijeshi ilimponza kwa kuwafanya hao wanaosemekana ni Hamas kumfyeka kwa kuamini ni miongon mwa mwanajeshi wa kiisrael.

[emoji117]labda nae alikuwa sehemu ya jeshi la siri/mpelelezi kutoka israel ndiomaana kifo kikampata, haimake sense mtu wa kawaida tu kumiliki jezi/vazi la kijeshi.

[emoji117]labda hilo ni tukio la kupikwa na waisrael wenyewe kwa kutafta uungwaji mkono na mataifa yasiyowasapoti kwa kujenga chuki dhidi ya palestina na wanamgambo wa Hamasi, kwa kuua baadhi ya raia wa nchi zisizo isapoti israel na kusingizia ni hamasi wamefanya matukio hayo.

[emoji117]labda ni kweli ni Hamas wametenda hilo tukio lakin bado kunaibuka maswali, haiwezekan raia wa kawaida asiye na siraha wala mjeshi wa kiisrael kuuliwa kinyama vile itakuwa kuna viashiria fulani walivyoviona kutoka kwa huyo raia na kuhisi hatari au mamluki wa kiisrael na hapa tunarudi kule kule kwenye viashiria vya kipelelezi/mamluki kupitia vazi la jezi ya kijeshi au chuki tu ya kibaguzi wa rangi.

Tukio hilo litizamwe kiumakini kwa akili timamu na sio hisia ili tusibase kwenye mihemko na kujikuta tunasapoti ujinga ambao umepikwa na mpikaji katimiza ajenda zake za kueneza chuki.

Hii ni kwaajili ya wenye akili tu na sio vilaza
Umesema yote Mkuu.
Wengi wa sisi watanzania hawapendi kutumia akili zao kuchambua mambo. Wanaendeshwa na hisia au mihemko.

Kuna uwezekano huyu ndugu yetu alikuwa kizuizi kwao hivuo ni lazima wangemuondoa tu. Sasa tujiulize amewazui nini hao jamaa?, na kwanini?.

Nikimuangalia ni Mmaasai na kuna hii kasumba ya watanzania baadhi hasa wa ukanda wa kaskazini kujiita wayahudi weusi au wayahudi waliopotea na kujinasabaisha na israeli, sio ajabu na huyu alikuwa huko. (Sijasema nimewaza)

Bado kuna hawa watanzania watu wa dini wao ni kuvaa nguo zenye bendera ya israeli, mara waweke kwenye magari kama sticker au vitambaa hadi makanisani inapeperushwa bendera ya taifa lingine bila utaratibu. Hawa nao wakija kupigwa bomu wataanza kulalamika hovyo. Huwenda na huyu alikuwa na vazi au sticker ya hivyo kwa misingi ya kiimani (Sijasema nimewaza)

Mambo ni mengi sana hasa ukizingatia aliyetangazwa kuuawa kipindi chake hichi alikuwa askari wa Israeli, kazi maalumu. Labda na yeye pia who knows! kwani si tumeona watanzania wa huko Urusi kilichotokea.

Tukitumia akili hili jambo sio dogo hata kidogo.

Ukiangalia hizo video ni dhahiri ipo namna aliwakwaza hao jamaa, huyo anayemuuliza swali sijui ni kumfokea, huyo sio chizi kwamba amfokee au kumuuliza maswali mwanafunzi asiyejua kitu, mtu mweusi kutoka Afrika, tena Tanzania. Sio rahisi

Watu wakiwa kwenye kazi zao usijihusishe nao. Utajiponza.
 
Mzuka wanajamvi.

Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa manyani wakishangilia na kumtukuza mungu wao.

Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu.

Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.

Kwaanzia leo Sitachanganyikana na mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa mkristo.

Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na mwarabu yoyote.

Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.

Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.

R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.


Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Mkuu, hiyo video inapatikana wapi?
 
Umesema yote Mkuu.
Wengi wa sisi watanzania hawapendi kutumia akili zao kuchambua mambo. Wanaendeshwa na hisia au mihemko.

Kuna uwezekano huyu ndugu yetu alikuwa kizuizi kwao hivuo ni lazima wangemuondoa tu. Sasa tujiulize amewazui nini hao jamaa?, na kwanini?.

Nikimuangalia ni Mmaasai na kuna hii kasumba ya watanzania baadhi hasa wa ukanda wa kaskazini kujiita wayahudi weusi au wayahudi waliopotea na kujinasabaisha na israeli, sio ajabu na huyu alikuwa huko. (Sijasema nimewaza)

Bado kuna hawa watanzania watu wa dini wao ni kuvaa nguo zenye bendera ya israeli, mara waweke kwenye magari kama sticker au vitambaa hadi makanisani inapeperushwa bendera ya taifa lingine bila utaratibu. Hawa nao wakija kupigwa bomu wataanza kulalamika hovyo. Huwenda na huyu alikuwa na vazi au sticker ya hivyo kwa misingi ya kiimani (Sijasema nimewaza)

Mambo ni mengi sana hasa ukizingatia aliyetangazwa kuuawa kipindi chake hichi alikuwa askari wa Israeli, kazi maalumu. Labda na yeye pia who knows! kwani si tumeona watanzania wa huko Urusi kilichotokea.

Tukitumia akili hili jambo sio dogo hata kidogo.

Ukiangalia hizo video ni dhahiri ipo namna aliwakwaza hao jamaa, huyo anayemuuliza swali sijui ni kumfokea, huyo sio chizi kwamba amfokee au kumuuliza maswali mwanafunzi asiyejua kitu, mtu mweusi kutoka Afrika, tena Tanzania. Sio rahisi

Watu wakiwa kwenye kazi zao usijihusishe nao. Utajiponza.
Kwa hiyoo ukitekwaa ukiulizwa maswali kama huwezi kujua lugha wanayoongea wahusika watekaji wakaamua kukua kisa hawakuelewi lugha yako lakini laiti Joshua angekuwa muislamu ASINGEUWAWA maana kuuliwa kwake sio suala la lugha kiislamu ni Common dunia nzima.
 
Yani bora hata nisingekuwa kimbelembele kuangalia.

Aisee nawachukia sana miarabu,mijitu mikatili sana
Hata mi imeniumiza. Ningekuwa naishi Dar au nina undugu wa karibu wa yule dogo, ningefanya malipizi kwa mwarabu yoyote au ningeandamana kwenye ubalozi wa Palestina nikiwa peke yangu. Imeniumiza sana kwa kweli.
 
Hiyo clip bado haijawa verified na mamlaka yeyote ile,kuna watu wala hawamjui huyo Joshua kwa sura ila wanaunga tela tu,

Si ajabu hata wewe humjui kwa sura huyo Joshua bali na wewe umepitiwa tu na huu upepo ukaunga tela,subiri mpaka hiyo clip iwe verified na mamlaka husika,nowadays kila kitu kinaweza kua fabricated kwa lengo maalum,

Nje ya mada,unajua kua Israel imeua mpaka wasiokua raia wa Palestina kwenye hii vita?
Avatar yako inaonesha wazi wewe ni mfuasi wa magaidi, no wonder.

Taqbir.
 
Wewe akili ndogo kaa pembeni huna la maana,naona umejipanga kubishana,Dunia nzima inalalamika hao waume zako wanaua watoto,mpaka katibu mkuu wa UN amesema,kaa pembeni huna akili wewe punguani.
Ukitaka kuangamiza ukoo wa panya, teketeza mpaka mazalia yake.

Israel iendelee na oparesheni ya kuteketeza masala ya magaidi
 
Hayo majitu tunaishi nayo humu duniani na kila siku yako hivyo.
Kuna siku mmoja alipiga mkewe kakimbia aokolewe nikamzamisha gheto atulie.
Mzee kaja kuitaji mkewe aisee nilitoka na shoka tukakimbizana mpaka akakoma,na nikamwambia kabisa mkeo atakuja sio leo nyau we.
Dah ikabidi atulie tu.
Ye alikua katoka Iran mke Morocco nafikiri km sio Yemen.
Kuwa nao makini hao,ni dakika mbili wanaweza kukuchinja
 
Daah siwezi kuangalia hiyo video aisee....Vita sio nzuri hawa jamaa inakuaje wanaua hadi watu weusi huku wakijua hakuna Jew kutoka Mbagala...sema Balozi zetu zipo kama mapambo tu hawajaonyesha jitihada yeyote kuwataka raia wao wakiwa hai kama Philippines...
 
Back
Top Bottom