Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Hakuna kazi rahisi fanya kazi inayokulipa
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Bwana mdogo everything comes at a cost. Omba Mungu akuepushe na majuto ww bado ni mdogo ungeweza kupambana tu na maisha kivyako.
 
You have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
 
[emoji124]
images%20(7).jpg
 
Hilo limama anakesha kazi anafanyaje asubuhi tuachene drama hizi
 
Back
Top Bottom