KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu