Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Bwana mdogo everything comes at a cost. Omba Mungu akuepushe na majuto ww bado ni mdogo ungeweza kupambana tu na maisha kivyako.
 
You have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
 
duuh huu ni ujinga kwanini utaje kwa usahihi kumhusu kwa nini kwanza uthubutu hilo, ni vema akumalize kabisa kwa huu upuuzi
 
msaada anaejua namna ya kutoa hii link baada ya kupost
IMG_20220921_171714.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Kwani kujitoa sh ngap?
 
You have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
Boss wa nadharia.
Wakishashiba ubwabwa wa dezo wakapata vichenji vya bundle basi huweka matamanio yao yote katika vijistory vya kuunga unga.
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Sasa ni muda wa kubalance kwa kujirahisisha kwa JIBABA LA BENKI KUU
 
Wanaume wa hovyo kabisa wanaongezeka kwa kasi....... unalishwa na mwanamke na kufanywa mtumwa bila aibu unaleta post hapa!!!
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Siku hizi sio watoto wa kike tuu wanalelewa na wazee; wa kiume wanakaribia kushika nafasi ya juu

Mungu akiokoe kizazi chetu
 
Umepata kazi bado unalialia tu fanya kazi ww
 
Siku hizi sio watoto wa kike tuu wanalelewa na wazee; wa kiume wanakaribia kushika nafasi ya juu

Mungu akiokoe kizazi chetu
Kazi hamna sistangu, elimu tunayo, ila hatuna mitaji tu
 
Back
Top Bottom