Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Ndio ajira uliokua unatafuta usitumike kifala na ww patiapo mtaji
 
Hahaha jamaa unaharibu sasa, wamama wengine watakuwa hawatoi uterezi kwa kuhofia type kama yako!!!!
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Subiri jibaba lake lijue
 
Bwana mdogo everything comes at a cost. Omba Mungu akuepushe na majuto ww bado ni mdogo ungeweza kupambana tu na maisha kivyako.
Mtaani mgumu braza, kama ulitoboa kipindi cha jk kurudi nyuma basi ni hali tofauti kabisa na sasa hivi. Ingawa si-support njia aliyochagua jamaa ila naelewa situation aliyopo maana na mimi pia mwaka wa 6 sasa hivi tangu nimalize chuo sijawahi kupata kazi
 
Nime connect dots hadi nimempata. Halafu mbona ni mdada tuu? Au kisa lile umbo plus umri wako! Ila daah...huwezi mdhania mtu kwa muonekano wake
 
Mtaani mgumu braza, kama ulitoboa kipindi cha jk kurudi nyuma basi ni hali tofauti kabisa na sasa hivi. Ingawa si-support njia aliyochagua jamaa ila naelewa situation aliyopo maana na mimi pia mwaka wa 6 sasa hivi tangu nimalize chuo sijawahi kupata kazi
Thank you for the gift you have. You are a wise man of God
 
Ndio ajira uliyochagua, hakikisha inakulipa. Unanunua kiwanja, ujenge
 
You have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
Mbona vijana wanalaumiwa sana wakati wakulaumiwa ni wazee wetu waliokuwa myopic toka huko nyuma.
Tusiwasingizie vijana kwa ujinga wa wazee wetu, nao wabebeshwe lawama
 
Huu utoto wa kulalana na mtu halafu unakuja kumtangaza JF hadi kutaja na sehemu anayofanyia kazi Amin Amin nawaambia ipo siku atakuja kuuwawa mtu. Nyie oneni sifa.
lil-yachty-shaking-my-head.gif


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Tajiri wa mbususu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nilifikiri miaka 29 ni mwanaume mwenye akili timamu Sana, ni kiongozi. Kumbe daaah!
So tukusaidieje!
 
Back
Top Bottom