Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Tozo zisizo za ulazima wowote ule ๐๐๐Huko kuna makato mkuu๐๐๐
Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tozo zisizo za ulazima wowote ule ๐๐๐Huko kuna makato mkuu๐๐๐
Ndio ajira uliokua unatafuta usitumike kifala na ww patiapo mtajiNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Subiri jibaba lake lijueNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Mtaani mgumu braza, kama ulitoboa kipindi cha jk kurudi nyuma basi ni hali tofauti kabisa na sasa hivi. Ingawa si-support njia aliyochagua jamaa ila naelewa situation aliyopo maana na mimi pia mwaka wa 6 sasa hivi tangu nimalize chuo sijawahi kupata kaziBwana mdogo everything comes at a cost. Omba Mungu akuepushe na majuto ww bado ni mdogo ungeweza kupambana tu na maisha kivyako.
Ni yatimaSubiri jibaba lake lijue
Thank you for the gift you have. You are a wise man of GodMtaani mgumu braza, kama ulitoboa kipindi cha jk kurudi nyuma basi ni hali tofauti kabisa na sasa hivi. Ingawa si-support njia aliyochagua jamaa ila naelewa situation aliyopo maana na mimi pia mwaka wa 6 sasa hivi tangu nimalize chuo sijawahi kupata kazi
Mbona vijana wanalaumiwa sana wakati wakulaumiwa ni wazee wetu waliokuwa myopic toka huko nyuma.You have a very low thinking. Hapa umetoa mpaka address ya boss wako. Kibarua kitaota sasa. Hili taifa lina vijana wengi wajinga na wazembe sana. Kama hatua hazitachukuliwa kwenye malezi na elimu yetu then tutakuwa tunatenganeza wajinga wengi sana kama huyu. Sishangai kufanya kazi unayoifanya.
๐คฃHilo limama anakesha kazi anafanyaje asubuhi tuachene drama hizi
Tajiri wa mbususu ๐คฃ๐คฃ๐คฃNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
duhUongo unanitesa, je nifanyeje niepuke aibu hii?
Nimekuwa muongo sana tangu nikiwa mvulana. Sasa nimekuwa baba mtu mzima ila bado nadanganya hata vitu visivyo na maana najikuta nimedanganya. Nifanyeje ili niishinde kadhia hii maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya.www.jamiiforums.com