KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #101
Benki kuu ni taasisi kubwa haina watu wajinga kama wewe. Hamna mtu ametajwa kwa jina wala wajihi, pia hii taarifa haijathibitishwa kama ni ya kweli au changamsha genge.Hapa kazini tumeshamjua na wamem foward dia ujumbe wako. Umeshaharibu kazi kijana, jiandae kisaikolojia huna wiki moja mbele kimeshaota nyasi
Grow up muzi a.k.a vuzi