Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Nime connect dots hadi nimempata. Halafu mbona ni mdada tuu? Au kisa lile umbo plus umri wako! Ila daah...huwezi mdhania mtu kwa muonekano wake
Acha hizo broo
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Nipe namba yake mkuu
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Mbona mjomba wako niko hapa naweza kukupiga tafu,mimi huku kwa shangazi yako sishibi kabisa fanya mpango tupige kolabo mwanangu tumchukulie vizuri hela huyo maza.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Malengo YAKO ni yapi kwa miaka yote uliyoishi apooo,,,,huna ndugu wa karibu,,,huyo mama hana mme.....tupe majawabu hapa tuone
 
Siku hizi sio watoto wa kike tuu wanalelewa na wazee; wa kiume wanakaribia kushika nafasi ya juu

Mungu akiokoe kizazi chetu
Vijana wame elewa haki sawa na usawa wa kijinsia unao fundishwa mashuleni,hizi harakati zimewafanya watoto wa kiume wa fikirie kwamba wana haki sawa na wanawake.
 
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.

Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.

Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.

Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Hii nini sasa, haina kichwa wala miguu.
 
Hapa kazini tumeshamjua na wamem foward dia ujumbe wako. Umeshaharibu kazi kijana, jiandae kisaikolojia huna wiki moja mbele kimeshaota nyasi
 
Back
Top Bottom