ConsciousMan
Member
- Mar 28, 2018
- 58
- 70
dah wanaume wa toleo jipya mna tabu sana😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hizo brooNime connect dots hadi nimempata. Halafu mbona ni mdada tuu? Au kisa lile umbo plus umri wako! Ila daah...huwezi mdhania mtu kwa muonekano wake
Tajiri wa mbususu 🤣🤣🤣
Nipe namba yake mkuuNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Mbona mjomba wako niko hapa naweza kukupiga tafu,mimi huku kwa shangazi yako sishibi kabisa fanya mpango tupige kolabo mwanangu tumchukulie vizuri hela huyo maza.Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Malengo YAKO ni yapi kwa miaka yote uliyoishi apooo,,,,huna ndugu wa karibu,,,huyo mama hana mme.....tupe majawabu hapa tuoneNina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Ha haaaa watu wabaya nyieUongo unanitesa, je nifanyeje niepuke aibu hii?
Nimekuwa muongo sana tangu nikiwa mvulana. Sasa nimekuwa baba mtu mzima ila bado nadanganya hata vitu visivyo na maana najikuta nimedanganya. Nifanyeje ili niishinde kadhia hii maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya.www.jamiiforums.com
Na sisi watu wazima hatuwataki nyie wamamaWamama tuachane na hawa wavulana
Kwamba ni Kweli?Nime connect dots hadi nimempata. Halafu mbona ni mdada tuu? Au kisa lile umbo plus umri wako! Ila daah...huwezi mdhania mtu kwa muonekano wake
Vijana wame elewa haki sawa na usawa wa kijinsia unao fundishwa mashuleni,hizi harakati zimewafanya watoto wa kiume wa fikirie kwamba wana haki sawa na wanawake.Siku hizi sio watoto wa kike tuu wanalelewa na wazee; wa kiume wanakaribia kushika nafasi ya juu
Mungu akiokoe kizazi chetu
Ngumu siku hizi ishakuwa trends kwa wakina mama na inakuja kwa kasi.Wamama tuachane na hawa wavulana
Hii nini sasa, haina kichwa wala miguu.Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko tracked muda wote. Ikifika tu muda wake wa kutoka anataka niwepo getini kwake namngoja, baada ya hapo tunaenda kwake Mbezi Beach.
Ananikondesha, maza sijui anakula mkuyati gani? Ana nyege zisizoisha. Yaani nakuwa mchovu muda wote.
Sasa ameanza kunipa dawa ya kuniboost ili tu nimkune usiku kucha.
Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu
Hii nini sasa, haina kichwa wala miguu.
Hii nini sasa, haina kichwa wala miguu.