franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
Kimeumana. Pole ndugu pambana na ndoa ya kikatoliki hiyo. Mkiambiwa acheni kutafuta sifa mnatuona wazushiNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Kimara to Kariakoo ni kilometer ngapi?Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Kwa dau zuri, 'mafundi uchwara' wale wale waliokufungisha ndoa na hiyo gari kimeo, watakutafutia wa kumwachiaNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
AliyekufilisishaHuyo fundi wako ndiye aliyekufilisha
Sio kumwachia Bali kumsusia.Kwa dau zuri, 'mafundi uchwara' wale wale waliokufungisha ndoa na hiyo gari, watakutafutia wa kumwachia
Kimeumana. Pole ndugu pambana na ndoa ya kikatoliki hiyo. Mkiambiwa acheni kutafuta sifa mnatuona wazushi
Ukiweka mafuta ya kidumu kwenye gari zenye engine kubwa lazima ulie. Hapo ajipinde ajaze full tank then yakipungua kidogo anaongeza juu kwa juu.Tembelea maeneo ya temeke na depot za mafuta upate mafuta bei kitonga
JauUkiweka mafuta ya kidumu kwenye gari zenye engine kubwa lazima ulie. Hapo ajipinde ajaze full tank then yakipungua kidogo anaongeza juu kwa juu.
Kama halina tatizo lingine..tumalizane kwa 10mln.Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934